Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna nyumba za bati Dar uliza jamaa zako wanaoishi huku wakuambie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wuhuhuuu!!
Basi hapo ni wapi na ulijuaje km hzo si za dar..
Ndani ya dar[emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20201212-010808_YouTube.jpg
 
Ndo uweke ss iyo behind the scene.

Sent using Jamii Forums mobile app
kaangalie kimya kimya usijali, sitaki kukuumbua...
Jamaa atoe video nje ya nchi alafu asiseme[emoji1787][emoji1787]
Tena mtanzania, meno ya bandia ambayo hta wahuni mitaani wanabandika yeye kajiropokea airport itakuja video aliyoifanya nje ya nchi...

Si angeliuja hapa na kujisifia kw kukomboa ma dancer na washirika wengine kadhaa hadi hko mwisho amalizie mziki unalipa bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom