Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu na tabia zako za kuiba picha kumbe hujaicha? Sasa mbona uibe hii picha from China?View attachment 1649416
Kwahiyo km hiyo bridge ipo China haiwezi kujengwa km hiyo Tz? Hiyo ni proposed inaweza ikawa hiyo na isiwe hiyo vile vile kwamba ikachukuliwa nyingine kali zaidi ya hiyo cz pesa tunayo na tegemea hayo kutokea ulie au ucheke.

Nyie watu mnaotumia mifuko kukunya mna tabu kweli, tukiweka proposed projects humu huwa mnagoma ila upon completion mnaanza kulia lia kisa tu Kunyaland hakuna.
 
Thanks for renders
images (38).jpeg

Goba
 
Ebu leta render ya hiyo proposed tuone kama inafanana na hiyo ya China
Kwahiyo km hiyo bridge ipo China haiwezi kujengwa km hiyo Tz? Hiyo ni proposed inaweza ikawa hiyo na isiwe hiyo vile vile kwamba ikachukuliwa nyingine kali zaidi ya hiyo cz pesa tunayo na tegemea hayo kutokea ulie au ucheke.

Nyie watu mnaotumia mifuko kukunya mna tabu kweli, tukiweka proposed projects humu huwa mnagoma ila upon completion mnaanza kulia lia kisa tu Kunyaland hakuna.
 
Ebu leta render tuone, hakuna haja ya kupost picha ya kwingine as your render
Render gn unataka wewe, hiyo niliyokupa ndicho kitakacho tokea km changes zitakuwa ndogo ndogo mana huwa tunapenda kujitofautisha na wengine, Tz inafanya miradi mikubwa mikubwa kuliko nchi yoyote East and central Africa itakuwa icho kidaraja?
 
Render gn unataka wewe, hiyo niliyokupa ni nn km co render, Tz inafanya miradi mikubwa mikubwa kuliko nchi yoyote East and central Africa itakuwa icho kidaraja?
Wewe unajua maana ya render kweli?. Hiyo ni picha ya what had already been built
 
eti watanzania.. ni vitu gani serikali ikifanya mtafutahia.. naomba kujua mawazo yenu
  1. Wakikamilisha bomba la Uganda ikiwemo oil terminal Tanga na kujenga la gesi kwenda Hoima,
  2. Wakikamilisha SGR kufika Mwanza, Kigali na Kigoma, ikiwemo na wagon ferries at least nne lake Victoria, nne Lake Tanganyika na nne bahari ya Hindi.
  3. Wakikamilisha ujenzi wa bandari za maziwa Lake Tanganyika na bandari ya Tanga na Mtwara.
  4. Wakijenga LNG Lindi na Mtwara Bamba Bay railway.
 
eti watanzania.. ni vitu gani serikali ikifanya mtafutahia.. naomba kujua mawazo yenu
Uwanja wa ndege wenye runway kubwa + cargo terminal kubwa pamoja na pasenger terminal ya kuhandle 5M+ Arusha ili kuhakikisha hakuna mfanyaiashara yeyote anaeweza kufikiria kuhusu jkia hiyo kanda
Bila kusahau flyovers 2+ na mijengo kama 2+ yenye 30+ floors Arusha.
Mwisho kabisa ni SGR kutoka Dodoma hadi Arusha bidhaa zishuke bei na kuteka soko maeneo ya mpakani.
Haya yakifanyika kikamilifu basi tutateka uchumi wa EA kirahisi na league ya nairobi itaishia Arusha huku DSM na DOM zikipambana na tokyo, new york, n.k
 
Back
Top Bottom