Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua hyo place ya kufunguka ndio panaguzo sio
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?
 
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?
Sasa we yakuwashiani, si ungoje kitu kianze kufanya kazi rasmi ndio uje na hayo maswali sasa
 
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?
Sasa we yakuwashiani, si ungoje kitu kianze kufanya kazi rasmi ndio uje na hayo maswali sasa
 
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?
Kwhyo ni nani huyo kwanza atakua na huo ujasiri wa kutulia pale gati likifunguka,
 
Mbona kama lina matege
Ushawai kutana na BMW X6 kw msafara likiwaacha alafu uangalie miguu yake ya nyuma inavyojieka matege..

Huwezi jua hilo, Engineers pekeake ndio wana uwezo wa ku question vitu km hvo wala sio wazee chato
 
Kw akili zako floating bridge ni nn, angalau nataka kujua uwezo wako wa kung'amua mambo wala sio kupiga porojo tu
Ungetaka nikufundishe atleast ningekuelewa ila kujifanya unajua kutakuponza maana hutafundishwa..

Ivi ww huwz pima uwezo wako mwnywe utaweza kupima wangu?
 
A
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?
Apana hawatakuwa na subira,watajirusha ziwani na kuogeleo hadi upande mwingine🤣🤣
 
Ungetaka nikufundishe atleast ningekuelewa ila kujifanya unajua kutakuponza maana hutafundishwa..

Ivi ww huwz pima uwezo wako mwnywe utaweza kupima wangu?
Mbona waogopa sasa, mtihani rahisi tu kwako..
Floating bridge intakiwa iweje?
 
Ushawai kutana na BMW X6 kw msafara likiwaacha alafu uangalie miguu yake ya nyuma inavyojieka matege..

Huwezi jua hilo, Engineers pekeake ndio wana uwezo wa ku question vitu km hvo wala sio wazee chato
Toa ujinga hapa.
 
Bro ...stop arguing with them ..........they will never have such ......the only floating bridge in E.africa
Hapa zingatia pia floating bridges are way far inferior to fixed support bridges bali floating hujengwa under emergence or special condition..

Japo kuna technology za ujenzi wa kisasa wa floating bridge ambao ni mzuri na unavutia lkn nyie mmejenga simple beam bridge with gate and you call it floating??

Ndo mana mnakua vituko!!!😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom