Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,782
halafu mna umeme wa uhakika kuhakikisha hilo gate linafunguka na kufunga wakati wote? Je wavuka kwa miguu wataheshimu na kuwa na subira pale meli itakapotakiwa kupishwa kupita?Unajua hyo place ya kufunguka ndio panaguzo sio



.. hawa ndo wanafanya wazungu waite nchi zetu sh*thole countries 