Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Hata ukitaka kulia,we lia tu..ila ukweli ndo huo na haubadiliki kamweWacha nicheke, Hahahahahaaaaa!
Hata ukitaka kulia,we lia tu..ila ukweli ndo huo na haubadiliki kamweWacha nicheke, Hahahahahaaaaa!
Kwani kuchuliwa picha kunabadili bridge kuwa non floating??Jiulize hyo picha ilichukuliwaje hapo na wakati hata katikati bado
Umeanda google ukapata neno beam basi unakuja kuturingishia hapaHapa zingatia pia floating bridges are way far inferior to fixed support bridges bali floating hujengwa under emergence or special condition..
Japo kuna technology za ujenzi wa kisasa wa floating bridge ambao ni mzuri na unavutia lkn nyie mmejenga simple beam bridge with gate and you call it floating??
Ndo mana mnakua vituko!!!![]()

Chukueni picha nyingine basi ili daraja lionekane floating..Jiulize hyo picha ilichukuliwaje hapo na wakati hata katikati bado
Unajua hilo daraja kwanza sehemu inayo float ni mita ngapi au ni majungu tuKwani kuchuliwa picha kunabadili bridge kuwa non floating??
Kwn daraja mpaka liwe katika category la floating linatakiwe liweje, tujuze engineer wa BUZAChukueni picha nyingine basi ili daraja lionekane floating..
Kama nyie mlivoambiwa na uhuru floating bridge mkaanza kutusumbua kumbe mnajenda bridge ambalo jeshi la Tz lilijenga mwaka 79 wakati wanaenda kumpiga idd Amini U.G..Umeanda google ukapata neno beam basi unakuja kuturingishia hapa
Unajua hata hyo maana ya beam ni nn jamani au unajiropokea tu km kawaida yenu.
Are you aware that Tanzania has the weakest army in East Africa?![]()
Mbna unakwepa sasa, twende taratibu banaKama nyie mlivoambiwa na uhuru flating bridge mkaanza kutusumbua kumbe mnajenda bridge ambalo jeshi la Tz lilijenga mwaka 79 wakati wanaenda kumpiga idd Amini U.G..


Unajua hilo daraja kwanza sehemu inayo float ni mita ngapi au ni majungu tu
Mbna unakwepa sasa, twende taratibu banaKama nyie mlivoambiwa na uhuru flating bridge mkaanza kutusumbua kumbe mnajenda bridge ambalo jeshi la Tz lilijenga mwaka 79 wakati wanaenda kumpiga idd Amini U.G..


Me sio mwalimu wa engineering ila ntakufundisha floating linakuaje ila mengine katafute google.Mbna unakwepa sasa, twende taratibu bana
Maneno mengi hyo bila facts huo ni umama..
We unatakiwa utujuze beam intakiwa iweje na floating pia inatakiwa iweje vile vile, povu rukhsa
Linafunguka likielekea wapi, pole pole utakaa sawa tuHakuna sehemu inafloat kuna gate linafunga na kufunguka..
Hongereni kwa hili pia.

Sasa hii nayo me ndo nikwambie?? Kwamba linafunguka kwwnda wapi.Linafunguka likielekea wapi, pole pole utakaa sawa tu![]()
Tuliza mshono basi, manake utachekwa kw kutoelewa mambo vizuri..Me sio mwalimu wa engineering ila ntakufundisha floating linakuaje ila mengine katafute google.



We si unasema ni beamSasa hii nayo me ndo nikwambie?? Kwamba linafunguka kwwnda wapi.
Low budget ya steal sioSijasema kitu ila ni mfano mzuri wa walichoahidiwa watajengewa na wanachojengewa
#lowburgetfloatingbridge
View attachment 1647642

