Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani unawaekea wavivu link, unafikiria watasoma kweli na wakati hapa tayari wameshaamua ni kujitoa ufahamu mwanzo mwisho
Ww lini umesoma? Hata ukipewa link utakuta unachozungumza ni tofauti na kwenye link, kumaanisha kwamba hujaisoma.
 
Buza ndo kwetu Baba vp unataka tukukune au... naona kipele kinakuwasha.. tutakikuna ki engineer zaidi
Mbna umekasirika na wakati we ndio bonge la engineer hko..
Usiwaangushe wwnzio kw mambo rahisi km haya, utachekwa
 
The longest floating bridge in the world
eti hii floating bridge .. hawa ndo wanafanya wazungu waite nchi zetu sh*thole countries
View attachment 1647498
Do you have anything to say?
520-texas-colors_WSDOT_620.jpeg
 
Is this a floating Bridge or not?View attachment 1647491
Atakama hilo ni floating bridge kwani ndo similar na lakwenu? Machozi ehe embu stop wasting my time bruh.. if u think there's any way kwamba unachotumaga humu ndani u doing something meaningful and bright then let me burst the bubble of yours and I really hate tell you this it's usually pile BULLSHIT ...you are dumb as u type humu ndani.. no offense tho. Respectfully
 
kawaida ya bongolala
Mi nimeshawasoma tayari, waliimba wimbo wa mwakani kumbe hawajui km hyo mwakani kenya ndio inakuja vibaya..
Sasa sai kenya kuna contruction kila mahali wameshtuka..

Sasa ndio wameamua kubadili mfumo, yani kiufupi wamekuja kivinge..
Sai ni mwendo wa kujitoa ufahamu tu manake bila hvyo mgao wako hupati
 
Look how foolish you are Unasema I'm wasting your time kwani nimekufunga na kamba? Ama kuna penye imeandikwa ati lazima unijibu
Atakama hilo ni floating bridge kwani ndo similar na lakwenu? Machozi ehe embu stop wasting my time bruh.. if u think there's any way kwamba unachotumaga humu ndani u doing something meaningful and bright then let me burst the bubble of yours and I really hate tell you this it's usually pile BULLSHIT ...you are dumb as u type humu ndani.. no offense tho. Respectfully
 
Mi nimeshawasoma tayari, waliimba wimbo wa mwakani kumbe hawajui km hyo mwakani kenya ndio inakuja vibaya..
Sasa sai kenya kuna contruction kila mahali wameshtuka..

Sasa ndio wameamua kubadili mfumo, yani kiufupi wamekuja kivinge..
Sai ni mwendo wa kujitoa ufahamu tu manake bila hvyo mgao wako hupati
Sikuizi wameamua kuwa wajinga to avoid real analysis of what is happening.
 
Mbna umekasirika na wakati we ndio bonge la engineer hko..
Usiwaangushe wwnzio kw mambo rahisi km haya, utachekwa
Wakukasirkia niwe mimi.?.. 😂😂 komora ehe jibu swali unataka kukunwa na engineer?
 
Sikuizi wameamua kuwa wajinga to avoid real analysis of what is happening.
Unanipotezea mda wangu coz unaniuliza maswali yakijinga ungekua unaulizaga maswali yaa maana obviously nisenge kuwa offended on me using mda wangu on u simple... lakini since ni Machozigesi aka kunyan I just have tu deal with the BS
 
Back
Top Bottom