Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Za kupeleka wapi wakati pesa za kujenga 4 to 6 carriageway + pedestrian sidewalk tunazo?

Ninyi fukara ndio mpambane na hizo urgent pedestrian floating bars na mara nyingi nijuavyo hujengwa wakati wa vita on urgent call. 😅
Hawa jamaa kweli viliza aafu mpaka press conference 😂😂😂😂😂sijui wasimamizi pamoja na engineers walevi😂😂😂mchina anajitawala kwao😂😂
 
Mumebakia na hasira ya kutuonesha render 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 munaona aibu kupost huo upuuzi wa mwaka 2020 tena munaambiwa inafunguliwa 2021🤣🤣🤣 1.7b ksh ila mchina aisee hana huruma
Mchina anawaokota tu nyang'au
 
Sasa wewe unaweka picha nusu hili nini ifanyike? Mbona usiweke picha nzima venye umeweka ya render?.
View attachment 1647398
Hii ni render nimeikuta pahala..

Hii ndio floating bridge sio hiii hapa
View attachment 1647400
tapatalk_1607701202610.jpeg
Aerial-view-of-Liwatoni-pedestrian-floating-bridge-800x500.gif
 
Un
Sasa wewe unaweka picha nusu hili nini ifanyike? Mbona usiweke picha nzima venye umeweka ya render?.View attachment 1647412View attachment 1647413
UnAamini bridge ikiwa na mlango wa kufunga na kufungua iyo ni floating bridge... yani badala mumkazie uhuru asiwadanganye mnakaa kutetea ujinga..

By the way floating bridges huwa ni cheap na faster kuconstruct. Sina uhakika kwnn uhuru alighair kujenga labda aliona atapiga ela kidogo so akawadanganya.
 
Za kupeleka wapi wakati pesa za kujenga 4 to 6 carriageway + pedestrian sidewalk tunazo?

Ninyi fukara ndio mpambane na hizo urgent pedestrian floating bars na mara nyingi nijuavyo hujengwa wakati wa vita on urgent call. 😅
Ati pesa? Tanzania na pesa kwa sentensi moja? 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hawa jamaa kweli viliza aafu mpaka press conference 😂😂😂😂😂sijui wasimamizi pamoja na engineers walevi😂😂😂mchina anajitawala kwao😂😂
Hayo makitu yapo kibao kwenye magodown ya JWTZ standby kwa matumizi ya dharura endapo madaraja yatakatika ama vipi, nashangaa hawa wameingizwa cha kike kiboya hivi na hayo maboya ya rescue mission 😅😅😅
 
Ebu leta hiyo ya JWTZ tuyaone We all know that your army is very poor and can't afford such things
Hayo makitu yapo kibao kwenye magodown ya JWTZ standby kwa matumizi ya dharura endapo madaraja yatakatika ama vipi, nashangaa hawa wameingizwa cha kike kiboya hivi na hayo maboya ya rescue mission
 
Iyo bridge nambambili ndo sio kabisa maana izi ni zile bridge hata millitary wanaweza jena per single day. So iyo yenu haipo. Kiufupi IYO SIO FLOATING BRIDGE.

Najua unaangaika kutafuta google kuhalalisha ilo bridge kuwa floating lakin reality ilo sio...
Sijui kwanini mnaendelea bishana na huyo machozigesi.. definition yenye alio ituma inamfunga mwenye na bado y'all falling for his delusions.. Tz people sometimes we gotta do better on how to deal with kunyans mhen..
 
Back
Top Bottom