Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ushaiona floating bridge imeshikana na maji? Mbona akili yako imejaza uji?
images (68).jpeg

Hii ndo floating bridge.


Kenyata anawadanganya wakenya!
Yani hata maana ya floating hujui,,

Sasa kama ni ivo basi hata daraja la kogamboni liwe floating bridge.
images (74).jpeg
images (71).jpeg
images (75).jpeg



Sio hili nguzo zimezama chini mnaita floating bridge acheni bana
EnKGHQnXUAE1HQZ.jpg
 
Umesahai ku
kuna slum upgrade na pia dams zinajengwa kila county for irrigation purposes
Since Independence hadi leo mnazungumzia "dams, hunger, slums na maji ya kunywa katika miji na majiji?, na bado mnajisifia kwa kujengwa jengo refu na private sector wakati serikali inashindwa kutoa huduma muhimu za kijamii. Kweli ninyi ni kichekesho.
 
i



SO hizo picha ndizo unataka tuamini kwamba jeshi la Kenya ni bora zaidi kuliko jeshi letu? Ebu punguza ujinga basi. Ubora wa jeshi ni complex phenomena.
So unajua zaidi ya wale wenye waliwaweka fourth strongest army in East Africa after Ethiopia, Kenya and Uganda?
 
That content was too complex for you to comprehend anything. It wasn't meant for average minds like yours
Your fellow Kunyan came here with stupid arguments like what you have brought and we made him inferior when he found that Tz is several miles ahead of Kenya as far as the term registered engineers is concerned
 
That content was too complex for you to comprehend anything. It wasn't meant for average minds like yours
Katika watu ambao naona wanazeeka vibaya humu kwenye huu uzi ni wewe. Kadri siku zinavyokwenda ndivyo akili yako na comment zako zinazidi kuwa mlenda mlenda tu. Sijui ni hiyo kazi yako ya lindo inachosha sana akili ama vp? Umebaki ku-boast tu.
 
Back
Top Bottom