ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wakat huo unaongea mkiwa mnatumia fighter jet za f 5 enzi za vita ya kwanza ya duniaHizo J-7 are inferior jets. Heri zile za Uganda zinaezanigopesha kidogo lakini sio J-7![]()






uko na ujinga level ya PHD



Wambie bora sisi tukonayo.......yao n vision 2090Nyinyi mko nayo wapi, floating bridge??![]()


Defferent between this and this 👇👇👇👇 ni hii yao ni mpya hii yetu tumejenga 90sWivu gani mjinga ww unashabikia nn hapa 🤣🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1647110View attachment 1647111View attachment 1647112
Don't compare F-5 jets na zile ujinga zenuWakat huo unaongea mkiwa mnatumia fighter jet za f 5 enzi za vita ya kwanza ya duniauko na ujinga level ya PHD
![]()


Mlevi anasema watajenga 12month bridge mwengine anakwambia ni 450meters sasa unajiuliza maswali how is it possibleukiwaambia ni 120m wanakua wakali




Mlevi anasema watajenga 12month bridge mwengine anakwambia ni 450meters sasa unajiuliza maswali how is it possible 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 ukiwaambia ni 120m wanakua wakali
Ivi hii ni floating bridge ee??madaraja kama haya kwetu yapo mtaani ndanindani sehem za kuvukia mto na yanazinduliwa na diwani au mwenyekiti wa mtaa sio rais
View attachment 1646902View attachment 1646905
hawana....Mfugale flyover...Kenya tuonyesheni flyover yenye hadhi walau kama Hii View attachment 1646307
bado sana imekaa local version
Muko nayo hiii au sio 🤣🤣🤣👇👇👇 dah aiseeeeWambie bora sisi tukonayo.......yao n vision 2090![]()
So 450meter munajenga kwa 12 month🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅 wewe inakuingia akilini kweli hahahhahahahaha
Sigiri bridge 100m 🤣🤣🤣👇👇👇👇Halafu ame-commission brigde kabla halijaisha!
Inanikumbusha lile lililo-collapse!
Wametumia 1.7b ksh 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 ila mchina sijui kama mbinguni ataendaIvi hii ni floating bridge ee??
Me nilijua floating hazinaga nguzo kumbe nazo zinashiliwa na nguzo sasa nini maana ya floating???
View attachment 1647181View attachment 1647182View attachment 1647183
From my humble observation, sijui kama Hiyo steel structure hapo juu sijui kama itadumu!Wametumia 1.7b ksh 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 ila mchina sijui kama mbinguni ataenda
View attachment 1647209
Ungese mtupulini na wapi ?????? Utabakia kupost renders tu
miaka 50 leo munajengewa huu upuuzi munashangilia
View attachment 1646826View attachment 1646827View attachment 1646828