Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,956
Ulitaka kudanganya watu



Nimepost nikaandika "dude"
Kuna mahali niliandika Tanzania?


Nimepost nikaandika "dude"
Kuna mahali niliandika Tanzania?
Nimepost nikaandika "dude"
Kuna mahali niliandika Tanzania?


♂️Tuache kuiba picha za nchi zingine tafadhali, hata kama zinafanana tuache tafadhali
![]()
Sibishani na sidiria.Ulitaka kudanganya watu![]()
Ana matatizo makubwa ya akili,huyu tokea mda nilijua ana tatizo kwenye ubongo
![]()
The reason they cannot show their military planes is because most of them are old and out of service. Ziko tu Kwa scrap yard, they never fly . 😂😂Si mlete yenu, mbona kuleta picha za nchi zingine?. Mimi siezikuletea picha za ndege za nchi zingine just because zinafanana na zetu, be proud of your items broh
![]()
Acheni kuiba picha za wengine tafadhaliAna matatizo makubwa ya akili,
Kinachomuuma ni Tanzania kumiliki hizo Airbus Helicopters H225.




Sasa kama hatjawahi shinda then ipi tuliyo pigwa?Tanzania has never won any fight that's a fact, you hide under big boys and then you claim that you won. In Uganda it's Israelites that defeated Iddi Admin and not Tanzanians
. Nyinyi kazi yeni ilikuwa kuiba ndege zao tu
![]()


The reason they cannot show their military planes is because most of them are old and out of service. Ziko tu Kwa scrap yard, they never fly .
Ebu watuonyesha picha za Ndege zao wakati zinatumika na majeshi yao, sio kwenda Kwa Google na kuleta picha za wazungu eti ni ndege za Tanzania![]()
This was grave mistake they will regret to the end of their lives, the same mistake was done by Idd Amin when he invaded and killed our people, the rest is in the books of history.Malizeni na hawa kwanza



Ingekuwa labda Tanzania haina hizo Airbus Helicopters H225 ungekuwa sahihi kuandika huu ujinga hapa ila kwa sababu Tanzania inazo hapa unazidi kuonesha namna uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo.Acheni kuiba picha za wengine tafadhali![]()
Ati Airbus Helicopters H225 ni old!The reason they cannot show their military planes is because most of them are old and out of service. Ziko tu Kwa scrap yard, they never fly .
Ebu watuonyesha picha za Ndege zao wakati zinatumika na majeshi yao, sio kwenda Kwa Google na kuleta picha za wazungu eti ni ndege za Tanzania![]()
Rudisha hii picha penye ulitoaIngekuwa labda Tanzania haina hizo Airbus Helicopters H225 ungekuwa sahihi kuandika huu ujinga hapa ila kwa sababu Tanzania inazo hapa unazidi kuonesha namna uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo.


. Mbona usiweke picha za zile zenu

Malizeni na hawa kwanza
Hii inaitwaje?
Ukiona hivyo ujue kuna spana alikazwa kwa hiyo kupost kwake hivo vitu ni moja ya mbinu yake kupooza maumivu ya kukazwa spanaOne thing I can say about machozigesi ni kwamba anajikuta kwamba anaingia under our skin na kuleta mada zilizo pitwa nawakati and everyone knows are things that are already dealt with na ana jikesha eti ili kupunguza uzito upumbavu anao tuma humu ndani... unatutumia vitu vya october wakati tupo December.. na ninakuambia huchomoki mpaka ukimbie humu ndani mamamae..



Watafanyaje sasa😂😂😂.. hawana pakuchomokea zaidi yakuji farijiHalafu ni kama hawalipendi na hawako proud nalo.
Walivyo washamba na wanavyo penda sifa bila kusahau ulimbukeni...kama wangekuwa wanalipenda wangekuwa wanalipost ovyo bila kusahau "super bridge" "one and only in Africa"![]()
Hiyo enye imefade ndio yenu na ndio unafaa kupost, sio kupost picha za watu wengine



. Najua ulifurahiswa na hizi additions which your helicopters lack




Thanks for the clarification mkuu 😂😂🙌🏽madaraja kama haya kwetu yapo mtaani ndanindani sehem za kuvukia mto na yanazinduliwa na diwani au mwenyekiti wa mtaa sio rais
View attachment 1646902View attachment 1646905
Akili km hizi ndio ccm wanatmzitaka sanaCapitalist kila mtu anafight kivyake wapi,,
Serikali haina hela na wachina hawataki kuwekeza kwenye bus stand!!!
Kama ni capitalist mbona Airport hamjawaambia kila company ijenge airport yake??
