Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1607676777.290694.jpg
 
Ukiona hivyo ujue kuna spana alikazwa kwa hiyo kupost kwake hivo vitu ni moja ya mbinu yake kupooza maumivu ya kukazwa spana
We ngoja na badooo... hivyo virenda vyao tunavipa mda tu.. vyote vitaishia kwenye tembomweupe kama sio second hand squad
 

Attachments

  • Screenshot_20201211-113959_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20201211-113959_DuckDuckGo.jpg
    35 KB · Views: 7
  • Screenshot_20201211-114212_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20201211-114212_DuckDuckGo.jpg
    37.9 KB · Views: 6
Tanzania has never won any fight that's a fact, you hide under big boys and then you claim that you won. In Uganda it's Israelites that defeated Iddi Admin and not Tanzanians. Nyinyi kazi yeni ilikuwa kuiba ndege zao tu
Yani unaongea ujinga mpka mijadal imekuwa kama ya watot
 

Attachments

  • Screenshot_20201211-113959_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20201211-113959_DuckDuckGo.jpg
    35 KB · Views: 8
Ati Airbus Helicopters H225 ni old!

Hivi unafahamu bei yake? Au uko hapa kuandika panganga!
Some of your military planes are old and out of service. Kwa mfano ebu nionyeshe picha au video ya ile Antonov transporter plane ya jeshi lenu. Mara yake ya mwisho kupaa angani ilikuwa lini?😂😂

Nyinyi hamna uwezo kama huu wa Kenya. 👇👇

Kenya's military transporter planes evacuating Kenyans from Ethiopia.

 
Hutaniona nikiiba picha ze nchi zingine venye wenzako wamezoea kufanya
Huna jipya machozigesi... chukua mabanzi ya uso na ukae kwa kutulia. Na bado utakula vikombe mpaka uite kenya kunyaland.
 
Hutaniona nikiiba picha ze nchi zingine venye wenzako wamezoea kufanya
We umeletewa mfano wa mizigo tuliyonayo we ng'ang'ania tumeiba picha... ndo maana nasema we hunaga mada zaidi ya kujichocha kama wakunya wanavyo sema... tafuta mada nyingine yakuchomokea ili sio hii.. machozigesi bwana 😂. Utakaa sawa tu lakini give it time
 
Back
Top Bottom