Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Acha ujinga unafananisha eicher na vipanya???..bei ya eicher moja ni sawa na vipanya 8
Utachekwa dogo
Acha ujinga unafananisha eicher na vipanya???..bei ya eicher moja ni sawa na vipanya 8
Level inaanza kuhesabika from the ground hata ground ni level thats y inakua three level kwann ulazmishe kitu 🤣🤣🤣🤣 kwani pangani ikiwa two level munaugua malaria au????Nimekujibu kw ufasaha sana, yani unavyotaka wewe basi ubungo itakua two level
Au hutaki tena..
We unafikiria levels huhesabiwa km floors sio..
Hapa hutoki zee la floors
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mzungu kajipiga pia kama alivowaletea second hand DMUs 🤣🤣🤣 kwao zimetumika 50yrs
Nakwambia walai..si heri nipande matatu nile mziki wangu pole pole kuliko hvyo viwanda vya moto..Nakuambia hata heri nganya![]()


Alafu mwisho wa siku utoke na kunguni 🤣🤣🤣Nakwambia walai..si heri nipande matatu nile mziki wangu pole pole kuliko hvyo viwanda vya moto..
Eti brand new
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu yupi huyoNa mzungu kajipiga pia kama alivowaletea second hand DMUskwao zimetumika 50yrs


Kwhyo wewe uko radhi kuunguaAlafu mwisho wa siku utoke na kunguni![]()



Ma engineer ndio wameandika 10yrs agoLevel inaanza kuhesabika from the ground hata ground ni level thats y inakua three level kwann ulazmishe kitukwani pangani ikiwa two level munaugua malaria au????

sasa we kilio chako hata ukilia wala hawatokiskia..

So bus moja ikiungua inamaana ni zote mbona hazikuungua zote tukajua 🤣🤣 au hujui maana ya chombo cha moto BRT inakuuma sana 😅😅😅
🤣🤣👇👇👇👇sitakuangushaMzungu yupi huyo
Mbna unajitetea na vitu usivyokua na ushahidi navyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha weee, kwhyo wewe unawabishi engineers sioHiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..
🤣🤣🤣🤣🤣 leo munalazmiaha two level iitwe three level kisa ubungo imekamilika sasa🤣🤣🤣🤣 kazi munayo basiMa engineer ndio wameandika 10yrs agosasa we kilio chako hata ukilia wala hawatokiskia..
Kwhyo unapinga km below ground hakuna level sio
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sn picha kali mno nimeisave hii kwa matumizi ya baadae, ila wakenya cku hz mshaelewa kwmb Tz kiboko, angalia mazingira hayo nyuma ya bus mpk raha



Kwn groun level sio sentensi sio, bwahahah.eti vibwengo wanataka washindane na engineersHiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..


Screenshot nizione zimepakiAngalia video vzr utajua zinapaki wapi au video hujaangalia![]()


Kwasababu unaongea ujinga na kung'ang'aniaJuu nimesema ukweli?![]()