Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Akuna cha mana hapo...au huo mkichwa ndio unaona utabadilish poor SGR from chinese? Just look at that viaduct(bridge) its like unfinished work the same as yours....izo behewa ni km za kunya tuu...in short nothing special at all, ng'ombe mwenye pimbi wwView attachment 1645762
garimoshi kama "lenyu" tena tayari lime-break down tayari! Kenya and Nigeria r birds of the same feathers!

 
Unatuletea stendi za mabasi ya mikoani wakati hku kwetu kila kampuni wana ofisi zao..
Nataka kuziona za daladala mijini

Sent using Jamii Forums mobile app
So hutaki kuona hzo 🤣🤣🤣🤣 mkikosa bus stage munasingizia kila bus ina ofisi zao na hii utumbo munajenga ya nn sasa🤣🤣🤣👇👇👇
1C33CF8B-0810-4E74-AC00-ADF76F7121BC.jpeg
86B7159B-DE0C-4CCE-AC85-A7C86ABA7D45.jpeg
B9545626-0304-431B-8360-4657E7149F06.jpeg
 
Tatizo sio kukubali, hapa nataka kukujuza maana ya level ndio uelewe..

Hapo pa wewe kukubali au kukataa hainihusu bora ukweli uwe umekuingia kujua maana ya level ni nini
Kwa akili yako level huwa chini ya ardhi!??..nyie mbona vilaza sana!!..ile ya ardhini ndo level ya kwanza ndo huitwa ground level,inayofuata ni level ya pili kwenda juu,ile ya chini ya ardhi si level,ila inaitwa below the ground level,huitwa tunnel..jifunze maana ya neno "level" acha bishani za kijinga
 
Kwa akili yako level huwa chini ya ardhi!??..nyie mbona vilaza sana!!..ile ya ardhini ndo level ya kwanza ndo huitwa ground level,inayofuata ni level ya pili kwenda juu,ile ya chini ya ardhi si level,ila inaitwa below the ground level,huitwa tunnel..jifunze maana ya neno "level" acha bishani za kijinga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kashaelewa kua pangani ni two level interchange na kashajua hawana three level interchange
 
Kwa akili yako level huwa chini ya ardhi!??..nyie mbona vilaza sana!!..ile ya ardhini ndo level ya kwanza ndo huitwa ground level,inayofuata ni level ya pili kwenda juu,ile ya chini ya ardhi si level,ila inaitwa below the ground level,huitwa tunnel..jifunze maana ya neno "level" acha bishani za kijinga
Hasira zote zimekuja baada ya kugundua hawana three level interchange 🤣🤣🤣
 
You're just confirming how foolish you are. Did you ever attend the pronunciation class? Are "beds" and "birds" pronounced the same? Do they have the same meaning? Alafu hiyo "co" is a not a Swahili word
"is a not a swahili word"
We mr broken tangu lini ukaweza kumfunza mtu lugha ambayo we mwenyewe huiwezi!?
 
Back
Top Bottom