ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ulaya kwani hawanunui vipya??👇👇"Kitu kipya" they said![]()
Na hiki kulifanya nn ulaya🤣🤣👇👇
View attachment 1645784
Ulaya kwani hawanunui vipya??👇👇"Kitu kipya" they said![]()
Na hiki kulifanya nn ulaya🤣🤣👇👇
View attachment 1645784
Unaezachemsha nyama hapo nyuma



Jibu swali jnapohesabu from the ground unakwenda huu au chini au na hili pia linahitaji ramli🤣🤣🤣🤣Logic yako unayotaka kutumia basi ubungo itakua ni two level
Manake unalazimisha tuhesabu ki floors
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wamepigwa tena vibaya sana, yani kitu kikigongwa pembeni kinavurujika mpka ngazi.."Kitu kipya" they said![]()


Nakuambia hata heri nganyaJamaa wamepigwa tena vibaya sana, yani kitu kikigongwa pembeni kinavurujika mpka ngazi..
Tena kumbe kinaleupuka aisee
Sent using Jamii Forums mobile app



Hizi ni scrappers tu kama zile zenu



Na hukushangaa zikichukua tuzo duniani na yakwanza africa au hukujua hilo🤣🤣🤣👇👇👇👇👇Jamaa wamepigwa tena vibaya sana, yani kitu kikigongwa pembeni kinavurujika mpka ngazi..
Tena kumbe kinaleupuka aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nilisikia DART wanatakakuuza magari yao ya zamani maana wameagiza mapya waambie wakenya wamshitue uhuru ayawahi kabla hayajaisha.. maana wao ndo wazee wa second hand.Nenda kalilie ndani....ukimaliza ukumbuk nyie hakuna kitu mnaweza nunua new apart from used one![]()
Kwn siku hizi mnajilinganisha na mabeberu


🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 hzi sio mpya jibu basiHizi ni scrappers tu kama zile zenu![]()
Uehhehehehehehehehehehrhehehehehr BRT inawatoa ushuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na mutaisubiri yesu ashuke awaleteeKwn siku hizi mnajilinganisha na mabeberu
Yani wakenya tunapowatolea mifaano na ulaya mnakataa na kutuona wajinga leo mnajilinganisha nyie sio...
Kwnza una ushahidi gani km hapo ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..Acha kudandia treni kw mbele wewe, alafu mbna unajichanganya we bwege kumbe wajua kuna below ground level na ground level kisha hapo hapo unataka kukataa..
Haya toa neno level katika "below ground level" km hutaki iitwe level..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni scrappers tu kama zile zenu, ama huelewi



Kama hawajaelewa hapa basi itakua ni laana 🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..
Nimekujibu kw ufasaha sana, yani unavyotaka wewe basi ubungo itakua two levelJibu swali jnapohesabu from the ground unakwenda huu au chini au na hili pia linahitaji ramli![]()




..Eti enhhh hata zinapotengezewa pia scrapers 🤣🤣👇👇👇👇Hizo ni scrappers tu kama zile zenu, ama huelewi![]()
Kama hutaelewa hapa mzee tuliza kipumulio🤣🤣👇👇👇Nimekujibu kw ufasaha sana, yani unavyotaka wewe basi ubungo itakua two level
Au hutaki tena..
We unafikiria levels huhesabiwa km floors sio..
Hapa hutoki zee la floors
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..