Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulaya kwani hawanunui vipya??
Tanzania kama Ulaya
12585938_brtpic_jpege4165b1577a261f6e62b20ff04f5d701.jpeg
 
Kwn siku hizi mnajilinganisha na mabeberu
Yani wakenya tunapowatolea mifaano na ulaya mnakataa na kutuona wajinga leo mnajilinganisha nyie sio...

Kwnza una ushahidi gani km hapo ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Uehhehehehehehehehehehrhehehehehr BRT inawatoa ushuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na mutaisubiri yesu ashuke awaletee
 
Acha kudandia treni kw mbele wewe, alafu mbna unajichanganya we bwege kumbe wajua kuna below ground level na ground level kisha hapo hapo unataka kukataa..

Haya toa neno level katika "below ground level" km hutaki iitwe level..


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..
 
Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..
Kama hawajaelewa hapa basi itakua ni laana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimekujibu kw ufasaha sana, yani unavyotaka wewe basi ubungo itakua two level
Au hutaki tena..
We unafikiria levels huhesabiwa km floors sio..

Hapa hutoki zee la floors

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hutaelewa hapa mzee tuliza kipumulio🤣🤣👇👇👇
Hiyo "below ground level" si term bali ni sentensi inayo-describe kilichopo under the ground level yaani tunnel,level sharti iwe kutoka kwenye uso wa dunia kuelekea juu..
 
Back
Top Bottom