Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So gorofa mkihesabu floors munaanza kuhesabu wapi??? leo nafunzwa na kilaza kutoka kenya
Kwn interchange huaga ina floors
Tena pia maana ya floors hujui pia..

Inabidi nianze kukufundisha online jomba
 
So umekubali kua pangani ni two level sawa au sio
Tatizo sio kukubali, hapa nataka kukujuza maana ya level ndio uelewe..

Hapo pa wewe kukubali au kukataa hainihusu bora ukweli uwe umekuingia kujua maana ya level ni nini
 
Manake leo imekua theee level baada ya ubungo kukamilika huko nyuma haikua three level au ndio munaforce ili musitoe machozi
Unabishana na engineer waliunda design na kusema ni three level ten years ago sio
Anyway naona umepata somo, kukubali sasa ni juu yako..
Hapa kwangu watanzania hawatoki kirahisi
 
We avatar yangu inakuhusia nn jamani, mbna hamjui ku mind vitu vyenu..we fuata kilichokuleta hapa..
Wala hutonikuta mimi nahangaika na avatar za wengine
Umeweka ili watu waone na co ww uone mana ww binafsi unajijua so accept challenges Mana umetaka mwenyewe.
 
Kwn interchange huaga ina floors
Tena pia maana ya floors hujui pia..

Inabidi nianze kukufundisha online jomba
Hii hasira yote imeletwa kwasabbu mumekosa three level interchange 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
8AA58A64-5436-41C1-9BB8-8617FED4B938.jpeg
 
Hahahah!!unafikiria USA ni nchi ya kitopolo, kule ma snitch kibao hapo km ingelikua hairuhusiwi hakungelikosekana mzungu kuvuta waya juu kw 911 ungeliona vile hao jamaa wangekisimamishwa na kupewa tiketi zao kwanza vile ni blacks..

Achana na wazungu kw usnitch wewe, hata akikuona ume tress pass sehemu ambayo haimuhusu haswa bado atakupeana sana sana wanawake wao
Ss hao wakenya wamepiga picha tu hyo inaruhusiwa.
 
Wacha ufalamanga, mbn kiswahili huwa tunaandika "co" badala ya "sio" iweje unashangaa "beds" badala ya "birds"
Look at this fool, beds and birds are not the same and will never be the same. Does beds have feathers?. Show me anywhere in this world where the word "birds" has ever been substituted with the word "beds". My friend I think you should just stick to Swahili instead of embarrassing yourself.
 
H
Hapa hakuna tofauti na hii small part of Mombasa,hakuna cha ajabu
View attachment 1644484
HApa naona dwarf zimejaa jengo refu floor 5. Wakati kkoo jengo fupi floor 4.

Unaweza ona differnce by the way umeprove kwamba ili mcompete na dar you have to join forces between Nairobi+Mombasa

Wakati posta inacompete na Nairobi
Kkoo inacompete na Mombasa.
 
Back
Top Bottom