Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

H

HApa naona dwarf zimejaa jengo refu floor 5. Wakati kkoo jengo fupi floor 4.

Unaweza ona differnce by the way umeprove kwamba ili mcompete na dar you have to join forces between Nairobi+Mombasa

Wakati posta inacompete na Nairobi
Kkoo inacompete na Mombasa.
Mombasa magorofa yamejaa tu acheni huo ushamba wenu wa kariakoo
 
Look at this fool, beds and birds are not the same and will never be the same. Does beds have feathers?. Show me anywhere in this world where the word "birds" has ever been substituted with the word "beds". My friend I think you should just stick to Swahili instead of embarrassing yourself.
Re-read
Wacha ufalamanga, mbn kiswahili huwa tunaandika "co" badala ya "sio" iweje unashangaa "beds" badala ya "birds"
 
Me naongelea picha aloweka na kucompare na kkoo. Mmeogopa hata kuona aibu. Yar dwarf zimejaa unacompare na concrete jungle ya kkoo.
Concrete jungle kwhyo maana yake ni maghorofa marefu sio, au ilkua unamaanishaje?
 
You're just confirming how foolish you are. Did you ever attend the pronunciation class? Are "beds" and "birds" pronounced the same? Do they have the same meaning? Alafu hiyo "co" is not a Swahili word
 
You're just confirming how foolish you are. Did you ever attend the pronunciation class? Are "beds" and "birds" pronounced the same? Do they have the same meaning? Alafu hiyo "co" is a not a Swahili word
Pronunciation depends na mtu anatokea wp, the way u monkey pronounce things differ from Indian pronunciation, US, et al.
 
Back
Top Bottom