Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tutakopa mpaka 150% [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]




Mapovu






mkuu ile kauli huwa inatoka na machozi kama huwa unaisoma kwa umakini,huwa haitoi kwa kumaanisha[emoji23][emoji23].

ni kama ile sms tunayotumaga wanaume baada ya kuona demu uliyempanga kuja hapokei simu wala hajibu sms.
 
tuendelee kuwa enjoy ,,hawa jamaaa wana vituko kwel kwel
Hawawez jua nimepita juzi dodoma enh mzee acha kabisa investments zinazowekwa hapo sio za bara hili 😂😂😂
Kweli ni kuwaenjoy tu

Ukiachana na majengo ya idara na parastatals tofauti za serikali kutaanza muda wowote kuanzia sasa ujenzi rasmi wa maghorofa yenye zaidi ya 10 floors, majengo zaidi ya 25 ya wizara zote huko government city

Yaani wakae watulie sababu Tanzania sio ya kupitwa na Kenya kwenye chochote zaidi ya slums na njaa
 
IMG_20201204_183641.jpg

Kibaha highway.
 
Cha ajabu pamoja na kukopa kote billions of dollars hawana project yoyote ya maana angalau ya kujilinganisha na Tanzania na bado Tanzania bila mikopo ina projects ambazo Kenya haitakaa iwe nazo mpaka dunia inaingia kaburini
Mkuu huwa unawapiga vitasa mpk wanakohoa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom