The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Vumbi eehhh, tulia hvyo hvyo tuanze kustua Afrika few years to come with the most modern and planned City in East and central of AfricaDodoma ni vumbi tu





Vumbi eehhh, tulia hvyo hvyo tuanze kustua Afrika few years to come with the most modern and planned City in East and central of AfricaDodoma ni vumbi tu





Hahahah!!we mbona unadandia treni kw mbeleHakuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu sababu ya vifo vyao, kama ambavyo wabuge wengine kabla ya Covid19 walipofariki, sababu za vifo vyao hazikutolewa na ofisi ya bunge, ndugu ndio wenye jukumu la kutaja sababu iliyosababisha kifo cha ndugu yao, hiyo ulisikia toka wapi kwamba ni complications za kupumua?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wacha ku catch ma feeling dada, tulia dawa iingie vzrWe naona una nyodo sana..





Zile sio slums bana bwana joto, yale ni maghorofa yaliyokatiza pande zoteSasa na hile picha unapaswa kuweka yenye kuonyesha nyumba zenyewe zionekane, hata kama ni mbovu, barabara zionekane hata kama zinamashimo, wewe unaweka picha barabara hazionekane kama kuna mashima au madimbwi, hata kituo cha Mwrndokasi kinaonekana roof tu, weka picha kituo cha mwendokasi kionekane sura yake.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hapo ni mjini kati broWah ata nmeshangaa hapa Ni CBD au kwa estate
Yamekulemea sasa umeanza kujeuzia gear angani..kumbe walikufa...? ,tena kwa complications...?..
aisee mi hizo taarifa hata sizifahamu ,we ndiye mtu wa kwanza kunipa hiyo taarifa....
asante sana kwa kunijuza dokta wanjigu
Weka watu waone maghorofa ya Magomeni, wacha kuwa mwogaZile sio slums bana bwana joto, yale ni maghorofa yaliyokatiza pande zote


Hapo hakuna slum banaWeka watu waone maghorofa ya Magomeni, wacha kuwa mwoga
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app




Acha shobo za mitandaoni, kwnza aliyekwambia mi dada nani.Wacha ku catch ma feeling dada, tulia dawa iingie vzr![]()
Hii ndio kitu Ichoboy alikazana nayo kuwa ni 12 lanes? Hata nane haifikiiView attachment 1641785
Kibaha highway.



Dodoma ni vumbi tu
nane zinafika.. subir wachore mistari kulingana na vipimo.. you can even notice there are very wide spaces in those two temporary lanes
Inakaa tu juakali type,,Thika Ni superhighway,10-12 lanesView attachment 1641785
Kibaha highway.
Huyo mpuuzi achaneni nae 😅😅😅nane zinafika.. subir wachore mistari kulingana na vipimo.. you can even notice there are very wide spaces in those two temporary lanes
Siku hzi 8 imekua 10 mpaka 12 lanes 😅😅Ina
Inakaa tu juakali type,,Thika Ni superhighway,10-12 lanes
View attachment 1641846View attachment 1641847
Rudish iyo thika huko....achana kbsa na kibaha high wayIna
Inakaa tu juakali type,,Thika Ni superhighway,10-12 lanes
View attachment 1641846View attachment 1641847