Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa render [emoji28][emoji28][emoji28]
Utashikwa na pressure bure, elite residence tower, 20 floors.[emoji23][emoji23] Hii pia iko kando ya GTC.
IMG_20201204_160414.jpeg
 
Ilitakiwa serekali yenu ndio itueleweshe hzo complications zimesababishwa na nn..
Lkn mpka leo zii
ishaelezwa ndiyo maana hata wewe umelifahamu hilo,,ndiyo maana nimekuambia kama unajua hiyo complications imetokana na nini zaidi ya hapo utujuze.....inawezekana ukawa unajua zaidi pia inawezekana wews ni ndugu wa marehemu, , unajua mengi kuliko tusikiavyo....

karibu maadam utujuze kiundani
 
ishaelezwa ndiyo maana hata wewe umelifahamu hilo,,ndiyo maana nimekuambia kama unajua hiyo complications imetokana na nini zaidi ya hapo utujuze.....inawezekana ukawa unajua zaidi pia inawezekana wews ni ndugu wa marehemu, , unajua mengi kuliko tusikiavyo....

karibu maadam utujuze kiundani
Utajuzake mtu ambae tayari ameambiwa hivi yeye tayari anasema hana covid na wakati jamaa hakupimwa...

Kaa utulie basi
 
Mwambie Nairobi is a construction site[emoji23][emoji23][emoji23]

Here is another tower coming up next to GTC.

View attachment 1641555
View attachment 1641558
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwa akili yako unadhani dar haijengwi imesimama....
government ndiyo imesimama kujenga high rise building kwa sasa hatujawekeza huko hasa ksa dar harakat zinaendelea dodoma

wakenya bhana mna ujinga mwingi
 
Ushawahi kuona wapi city isiyokuwa na vichochoro!??
Ukiona city haina vichochoro,ujue hiyo bado katika sekta ya majengo,yaani haijajengeka.
A weeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlifeli kupangilia jiji lenu bana
 
Utajuzake mtu ambae tayari ameambiwa hivi yeye tayari anasema hana covid na wakati jamaa hakupimwa...

Kaa utulie basi
unazunguka sana......nishakwambia mimi hizo tasrifa sizijui ,,we ndiye unayezijua basi hebu tupe kiundani ili jamii tujue....

chaajabu unaenda mwisho wa siku unarudia hapo hapo
 
A weeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlifeli kupangilia jiji lenu bana
hilo hatuwezi kukataa.

lakini tatizo ni pale jiji lililopangwa shaghala baghala linaposumbua jiji,lililopangiliwa kisawa sawa[emoji23][emoji23][emoji23]

ndio hii maneno yote hukutoka komora096
 
Back
Top Bottom