Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa render
Utashikwa na pressure bure, elite residence tower, 20 floors. Hii pia iko kando ya GTC.
IMG_20201204_160414.jpeg
 
Ilitakiwa serekali yenu ndio itueleweshe hzo complications zimesababishwa na nn..
Lkn mpka leo zii
ishaelezwa ndiyo maana hata wewe umelifahamu hilo,,ndiyo maana nimekuambia kama unajua hiyo complications imetokana na nini zaidi ya hapo utujuze.....inawezekana ukawa unajua zaidi pia inawezekana wews ni ndugu wa marehemu, , unajua mengi kuliko tusikiavyo....

karibu maadam utujuze kiundani
 
ishaelezwa ndiyo maana hata wewe umelifahamu hilo,,ndiyo maana nimekuambia kama unajua hiyo complications imetokana na nini zaidi ya hapo utujuze.....inawezekana ukawa unajua zaidi pia inawezekana wews ni ndugu wa marehemu, , unajua mengi kuliko tusikiavyo....

karibu maadam utujuze kiundani
Utajuzake mtu ambae tayari ameambiwa hivi yeye tayari anasema hana covid na wakati jamaa hakupimwa...

Kaa utulie basi
 
Utajuzake mtu ambae tayari ameambiwa hivi yeye tayari anasema hana covid na wakati jamaa hakupimwa...

Kaa utulie basi
unazunguka sana......nishakwambia mimi hizo tasrifa sizijui ,,we ndiye unayezijua basi hebu tupe kiundani ili jamii tujue....

chaajabu unaenda mwisho wa siku unarudia hapo hapo
 
Back
Top Bottom