Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Under excavation pia,18flr kilimani
images - 2020-04-09T162421.569.jpeg
 
Nairobi is full of ugly buildings..there is nothing that nairobi can challenge dar-es-salaam,but i can list the lot of things in dar to challenge nairobi,such as beautiful buildings,public transport,social services like clean water,proper housing and land,number of millionaires,billionaires,stadium,football clubs,beaches and hotels etc
Mbna mnakwepa kuleta vile vichochoro vya dar[emoji1787][emoji1787]
 
imechukua 4yrs kujenga majengo yote marefu dsm.

so hiyo league tunajua hamtuwezi,hivyo saa hizi wacha tuguse miundombinu kwanza.

i hop hii itakuwa ya pili kwa urefu baada ya ile pinnacle.
Hile Mzizima tower imechukua 4 years kujenga kweli?[emoji23][emoji23]
 
Hile Mzizima tower imechukua 4 years kujenga kweli?[emoji23][emoji23]
haijengwi 3yrs now imesimama,but kazi iliyobaki hata wewe unaezamalizia[emoji16][emoji16].

wapi pinnacle the tallest in africa[emoji3]
 
Wenzetu wamekazana na majengo cc tumekazana na miradi ya kumgusa mwananchi wa chini kabisa na bado wanaaamini tutakuwa ligi moja, labda Yesu arudi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Bwahaha[emoji1787][emoji1787]mlisahau wakati mlikua mnaturingishia na ushubwada wenu wa zile towers tatu..
Hku kuna jengwa kila siku
 
haijengwi 3yrs now imesimama,but kazi iliyobaki hata wewe unaezamalizia[emoji16][emoji16].

wapi pinnacle the tallest in africa[emoji3]
Court issues but itaendelea after tumerudisha yule Mganda kwao. Yeye ndio kichwa ngumu hapo[emoji23][emoji23]
 
Ushawahi kuona wapi city isiyokuwa na vichochoro!??
Ukiona city haina vichochoro,ujue hiyo bado katika sekta ya majengo,yaani haijajengeka.
Sidhani hata kama anafahamu maana ya vichochoro [emoji23][emoji23][emoji23]

Samehe hiyo takataka bure.
 
Back
Top Bottom