komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwn siku hizi umeanza kumea nunu sio[emoji122][emoji122][emoji122]hope vitakuwa vyembamba sana kuliko hata nunu yako.
Ila ukweli ndio huo
Kwn siku hizi umeanza kumea nunu sio[emoji122][emoji122][emoji122]hope vitakuwa vyembamba sana kuliko hata nunu yako.
Kwhyo umekubali[emoji1787][emoji1787]hilo hatuwezi kukataa.
lakini tatizo ni pale jiji lililopangwa shaghala baghala linaposumbua jiji,lililopangiliwa kisawa sawa[emoji23][emoji23][emoji23]
ndio hii maneno yote hukutoka komora096
[emoji16][emoji16][emoji16]au sio.Kwhyo umekubali[emoji1787][emoji1787]
Nairobi haina vijiji bana
Taarifa gani babaa..unazunguka sana......nishakwambia mimi hizo tasrifa sizijui ,,we ndiye unayezijua basi hebu tupe kiundani ili jamii tujue....
chaajabu unaenda mwisho wa siku unarudia hapo hapo
Unataka iwe ngapi?🤣Asante kwa render 😅😅😅 eti 30floors
kumbe walikufa...? ,tena kwa complications...?..Taarifa gani babaa..
Km ni jamii tayari tulishaambiwa marehemu wote siku hizi ni complications.
We sasa unatakiwa uunge mkono km wale wabunge wamefariki kw ajili ya ukosefu wa upumuaji lkn hutakiwi kusema sio covid hapo itakua unatoka nje ya mada..
Usitake kupindisha kitu ambacho hakiendani na upande unaoutaka wewe, manake ukianza kwenda hko utaulizwa swali moja tu..
Marehemu kapimwa lini?
Kwaheri lkn
Wah ata nmeshangaa hapa Ni CBD au kwa estateUchochoro katika ubora wake[emoji1787][emoji1787]
Mkiambiwa ukweli mnalia, sasa ni nini mmejenga kule Dodoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa kwa akili yako unadhani dar haijengwi imesimama....
government ndiyo imesimama kujenga high rise building kwa sasa hatujawekeza huko hasa ksa dar harakat zinaendelea dodoma
wakenya bhana mna ujinga mwingi
Sasa na hile picha unapaswa kuweka yenye kuonyesha nyumba zenyewe zionekane, hata kama ni mbovu, barabara zionekane hata kama zinamashimo, wewe unaweka picha barabara hazionekane kama kuna mashima au madimbwi, hata kituo cha Mwrndokasi kinaonekana roof tu, weka picha kituo cha mwendokasi kionekane sura yake.Picha ya nyumba za chini pamona na maghorofa huaga zinakaa hivi hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maeneo ya kawaida hayo tu, si we mwnywe unajionea maghorofa na nyumba za chini zilivyokaaView attachment 1640774
Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu sababu ya vifo vyao, kama ambavyo wabuge wengine kabla ya Covid19 walipofariki, sababu za vifo vyao hazikutolewa na ofisi ya bunge, ndugu ndio wenye jukumu la kutaja sababu iliyosababisha kifo cha ndugu yao, hiyo ulisikia toka wapi kwamba ni complications za kupumua?Taarifa gani babaa..
Km ni jamii tayari tulishaambiwa marehemu wote siku hizi ni complications.
We sasa unatakiwa uunge mkono km wale wabunge wamefariki kw ajili ya ukosefu wa upumuaji lkn hutakiwi kusema sio covid hapo itakua unatoka nje ya mada..
Usitake kupindisha kitu ambacho hakiendani na upande unaoutaka wewe, manake ukianza kwenda hko utaulizwa swali moja tu..
Marehemu kapimwa lini?
Kwaheri lkn
Tatizo masikini ni wengi....yani more than 80% ya population yao ni masikini wa kutupwaKilimani. Watanzania kwani nyinyi mliacha kujenga gorofa marefu?[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1641551
Hizo ni za 25 floors hata picha inaonyesha vizuri22 flr+22flr nearing completion,kileleshwa Nairobi
View attachment 1641486
unaizungumzia nairobi bila shaka maana population 3m afu 2.5 ni slum dwellers [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol.Tatizo masikini ni wengi....yani more than 80% ya population yao ni masikini wa kutupwa
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Hii picha inanyesha 25 flrsHizo ni za 25 floors hata picha inaonyesha vizuri
Sent from my Infinix NOTE 2 using JamiiForums mobile app
Hawajui majengo yote serikali inayojenga Dodoma kwa sasa yakichanganywa ni mara 100 ya shughuli zote za ujenzi Kenya nzimaimechukua 4yrs kujenga majengo yote marefu dsm.
so hiyo league tunajua hamtuwezi,hivyo saa hizi wacha tuguse miundombinu kwanza.
i hop hii itakuwa ya pili kwa urefu baada ya ile pinnacle.
Nashkuru kwa kupost render😂😂😂 good workUnataka iwe ngapi?🤣
Wanaumaskini usio na nafuu😅😅😅unaizungumzia nairobi bila shaka maana population 3m afu 2.5 ni slum dwellers [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol.
Hawawez jua nimepita juzi dodoma enh mzee acha kabisa investments zinazowekwa hapo sio za bara hili 😂😂😂Hawajui majengo yote serikali inayojenga Dodoma kwa sasa yakichanganywa ni mara 100 ya shughuli zote za ujenzi Kenya nzima