Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

King of High-rise
IMG_20201202_225030.jpeg
 
Hii ndio kitu Ichoboy alikazana nayo kuwa ni 12 lanes? Hata nane haifikii
Hahahahaaa hyo barabara ni hatari hapo haijapigwa yote yn ni ngumu kuelezea cz ikifika mbele inatanuka na ni pana balaa ina madaraja mengi na inavutia sn, estim kwa kweli wapo vzr mno, ngj apatikane mtu apige picha kamili cz apo ni mwanzo mwanzo ukifika mbele kdg inaanza kutanuka af mbele kdg zinaachana.

Yn ni the best architecture imefanyika hapo tulia cku iletwe humu
 
Barabara ya six lanes ndio umeandikia insha ya 200 words?
Hahahahaaa hyo barabara ni hatari hapo haijapigwa yote yn ni ngumu kuelezea cz ikifika mbele inatanuka na ni pana balaa ina madaraja mengi na inavutia sn, estim kwa kweli wapo vzr mno, ngj apatikane mtu apige picha kamili cz apo ni mwanzo mwanzo ukifika mbele kdg inaanza kutanuka af mbele kdg zinaachana.

Yn ni the best architecture imefanyika hapo tulia cku iletwe humu
 
Back
Top Bottom