Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_1605364337660.jpg
Najrobi
 
Sehemu kubwa bado ziko wazi 😂 😂 😂
Do you know something about planning and proper land use? Ama unataka Nairobi nyumba zirundikane kila sehemu bila mpangilio kama Dar?

90% of houses in these images below are apartment buildings
Screenshot_2020-12-02 2629577_images385 jpg (JPEG Image, 512 × 384 pixels).png

Iweje wato 250K waishi kwenye eneo la 2.5 sq mile huku sehemu kama hii ipo wazi?
 
Mbona hujataja barabara? The video was taken on a Sunday so kama unaexpect kuona magari on Sunday basi unataka maombi. Streets za Mombasa are better than za Dar, Mombasa has better housing compared to Dar. Mombasa has much better port than Dar, Moi International airport and JNIA had almost the same number of PAX in 2019. Mombasa is well planned compared to Dar. The only thing Dar inalemea Mombasa ni tall buildings but outside that, Mombasa can go toe to toe with Dar.
Hahaha mombasa haina mishemishe?hamna majumba marefu?sioni magari barabarani,sioni kitu cha mombasa kinachoendana na Dar sijakiona
 
So kwako kujenga barabara is a misplaced priority?! Mbona nyinyi mkajenga sgr wakati Dar haina a reliable sewer system hadi cbd? Is that also misplaced priority? Tatizo la maji lipo hata Cape Town. And then it's not like maji haiko Nairobi, huwa ni shida haswa wakati wa kiangazi coz maji yanayotumika Nairobi come from outside Nairobi.
we ni kichaa shida ya maji ya cape unacompare na nairobi...... pole sana kwa ukichaa. ulionao...wakenya bhana huwa mnajilinganisha hadi na japan hata kimadenj........wewe ni fala sana
 
Tafiti zinaonyesha kwamba slum(yaani makazi holela na duni) yamechukua eneo lenye ukubwa wa 453 km² za jiji la nairobi ambayo ni sawa na 62.34 % ya eneo lote,kwa mujibu wa tafiti hizo nairobi ndo jiji la kwanza afrika lenye eneo kubwa zaidi kwa slum.
naunga mkono hoja
 
Mbona hujataja barabara? The video was taken on a Sunday so kama unaexpect kuona magari on Sunday basi unataka maombi. Streets za Mombasa are better than za Dar, Mombasa has better housing compared to Dar. Mombasa has much better port than Dar, Moi International airport and JNIA had almost the same number of PAX in 2019. Mombasa is well planned compared to Dar. The only thing Dar inalemea Mombasa ni tall buildings but outside that, Mombasa can go toe to toe with Dar.
Haiwezi Dar hata ungeandika kwa kifaransa,ati unasema barabara?izo ni Barabara za kawaida sana bro kwa jiji hakuna maajabu...Njoo dar hapa hata jpl gari bado zipo nyingi huku ni mjini mzae wacha kusema habar za kusadikika hapa...ukitoka Bunju hadi posta mombasa imeisha na hyo ni side moja tu ya Dar

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Haiwezi Dar hata ungeandika kwa kifaransa,ati unasema barabara?izo ni Barabara za kawaida sana bro kwa jiji hakuna maajabu...Njoo dar hapa hata jpl gari bado zipo nyingi huku ni mjini mzae wacha kusema habar za kusadikika hapa...ukitoka Bunju hadi posta mombasa imeisha na hyo ni side moja tu ya Dar

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
kabisa......
 
Mtabaki kusifia ukubwa wa Dar pekee, outside the landmass and those tall buildings Dar has nothing over Mombasa. That's the truth.
Haiwezi Dar hata ungeandika kwa kifaransa,ati unasema barabara?izo ni Barabara za kawaida sana bro kwa jiji hakuna maajabu...Njoo dar hapa hata jpl gari bado zipo nyingi huku ni mjini mzae wacha kusema habar za kusadikika hapa...ukitoka Bunju hadi posta mombasa imeisha na hyo ni side moja tu ya Dar

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom