Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Ndo maana ikaitwa failed stateKama government haina say na project zilizo ndani ya nchi yake basi nchi imeuzwa.
Ndo maana ikaitwa failed stateKama government haina say na project zilizo ndani ya nchi yake basi nchi imeuzwa.
Hiyo ni edited, haiwezekani mataruma na reli vikawa hivyo hata kama vimetumika miaka 20000sioni chaajabu ,,,,,kwanza bado haijakamilika,,,huwa unapendwa kujifurahisha for nothing....
utakuwa jobless si bure
Wabongo mnaamini hiyo photoshop?itafanyiwa alignment kama ulkua hujui now u know
ila izi akili za kikunyammetisha sana
Hata wewe hujashtuka hiyo ni photoshop?Hapo hata tamping machine bado haijapita au huelewi hatua za utandikaji wa reli?
Hahaha mombasa haina mishemishe?hamna majumba marefu?sioni magari barabarani,sioni kitu cha mombasa kinachoendana na Dar sijakionaMombasa
Ka-nairobi kenyewe hata km² 680 hakafiki,ni kadogo mnoKuna sehemu kubwa bado iko wazi?? 😂 😂 😂
Hivi, wewe umehawi tembea Nairobi?
we muenjoy tu......Hiyo ni edited, haiwezekani mataruma na reli vikawa hivyo hata kama vimetumika miaka 20000
Labda kama hizo sio rails ni spaghetti


ndiyo maana nacheza naye tu,,,maana utoto umemjaa😅😅😅😅we muenjoy tu......ndiyo maana nacheza naye tu,,,maana utoto umemjaa


we muenjoy tu kaka,,,Ukiona hivi ujue, hii bullet train yetu inawaumiza sanawe muenjoy tu kaka,,,
hayo ndiyo matokeo ya ujobless
jamaa hana shughuli za kufanya yaani huwa anapotezaga mda wake for nothingUkiona hivi ujue, hii bullet train yetu inawaumiza sana
Hahaha mombasa haina mishemishe?hamna majumba marefu?sioni magari barabarani,sioni kitu cha mombasa kinachoendana na Dar sijakiona
Hakuna mahali nimetaja mwanza ,iyo mombasa ni ndogo sanaa kwa Dar iko chini sanaNever again compare Mombasa with Mwanza,, league yake no Dar
Na hiyo udogo wake inashinda Dar kwa kila kitu. Kiuchumi, kimaendeleo, kistawi, kiushawishi nk. Huoni kwamba mmelemaa mahali? 😂Ka-nairobi kenyewe hata km² 680 hakafiki,ni kadogo mno
Kuna muda hua unaongea facts sema unamizaha sanaNa hiyo udogo wake inashinda Dar kwa kila kitu. Kiuchumi, kimaendeleo, kistawi, kiushawishi nk. Huoni kwamba mmelemaa mahali?![]()
Talking of majumba marefu, what does Dar have save for those three blue towers. Secondly, majumba za 20 floors ziko nyingi sana Mombasa and many more are still in the pipeline. Niambie ni wapi bongo kuna jumba la 20 floors kando na DarHahaha mombasa haina mishemishe?hamna majumba marefu?sioni magari barabarani,sioni kitu cha mombasa kinachoendana na Dar sijakiona