Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wacha kuwa politician sema hamna state of the art slaughter house kama hiyo!

FYI there r around 6 of these in Tanzania currently U/C!
Geza unazozijua pamoja na hiyo ya Vingunguti, Shinyanga,Mwanza nk ongezea na Machinjio Mpya ya Geita. Ni kubwa Fence ni Mita 200 kwa Mita 200.

Nitaitupia siku moja nina mpango wa kwenda Geita
 
IMG_1606907876.748523.jpg
 
Geza unazozijua pamoja na hiyo ya Vingunguti, Shinyanga,Mwanza nk ongezea na Machinjio Mpya ya Geita. Ni kubwa Fence ni Mita 200 kwa Mita 200.

Nitaitupia siku moja nina mpango wa kwenda Geita
Kuna Kibaha, Dodoma na Sumbawanga pia!


 
Tunashangaa nyinyi kujenga flat nyingi wakati kuna sehemu kubwa bado ziko wazi (private land?), huku mkirundika watu wengi kwenye slums.
Kuna sehemu kubwa bado iko wazi?? 😂 😂 😂
Hivi, wewe umehawi tembea Nairobi?
 
Tunashangaa nyinyi kujenga flat nyingi wakati kuna sehemu kubwa bado ziko wazi (private land?), huku mkirundika watu wengi kwenye slums.
Sehemu kubwa bado ziko wazi 😂 😂 😂
Do you know something about planning and proper land use? Ama unataka Nairobi nyumba zirundikane kila sehemu bila mpangilio kama Dar?

90% of houses in these images below are apartment buildings
2054067_1557282216251.png
2051242_1557008973872.png
2051330_1557012441670.png
images(385).jpg
images(353).jpg
images(245).jpg
2397154_C9rcHeKWAAE80_k.jpg
images(288).jpg
 
I didn't know unakuanga this emotional ukiambiwa ukweli
Pole kwa maumivu
Emotional kisa nini?
Au unadhani ukiwa emotional basi kila mtu anakuwa hivo!

Endelea kuota halafu ukimaliza nenda kanye kwenye flying toilet kisha uzitupe kwa barabara.
 
Back
Top Bottom