Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuwepo si hoja,hiace zipo hadi america..huku hiace haitumiki kwa public transport,only for private use,huku passengers wanapanda coaster,hiace a.k.a vipanya tumewaachia nyie
Kwa hivyo tatizo kwako ni kwamba zinatumika kwa public transport? Lakini zikitumika kama private means hamna tatizo
 
Duh vodacom wanatumia logo ya blue!!??..hiyo ni mwaka 1989 mara ya mwisho kutumia hiyo logo ni mwaka 1994..picha za zamani sana,hizo hiace hadi leo kenya zatumika,huku bongo hazitumiki kwa passenger ni kosa kubwa kisheria,kubalini mko nyuma yetu sana😂👆
Kwa hivyo 1989 watanzania walikuwa wakitumia simu za rununu? Na pia service provider ilikuwa ni vodacom? 😂 😂
Wewe unajua vodacom ilianzishwa mwaka gani?
 
Kwa hivyo 1989 watanzania walikuwa wakitumia simu za rununu? Na pia service provider ilikuwa ni vodacom? 😂 😂
Wewe unajua vodacom ilianzishwa mwaka gani?
Sasa hapo si nimeshakwambia 1994 ,hiyo 89 hiyo hiace ya stesheni,kwani we umepost picha ngapi?!,hapo umechanganya ma-file umepost picha za 1989,1994(vodacom),2007,2018...hakuna ya 2020
 
Nishakuambia Kibera is only 2.5 square kilometers big. You can't compare with the infamous dream houses of Dar that cover almost the entire city.

Compare and contrast kisha ujijibu View attachment 1638335View attachment 1638340
Tuonyeshe hizo dream houses tuzione kwa karibu, hapo hizo picha tunaona bati kwa juu, haionyeshi kwamba ni mabanda au ni nyumba za tofali, tunataka kuona kama hizi

 
Okay I get you now. That's how you all reason. Hauna tofauti na wenzako
Hizo hiace kwa mega city hasa jiji kuu lenye watu zaidi ya 7 mill tutatoshana kweli kwa vipanya(hiace)..that's why,serikali ikapiga marufuku na kuweka sheria kali juu ya public transport,huku bongo huwezi kubadilisha canter for luggage iwe inabeba passengers kama mnavyofanya nairobi,do you understand!??
Lemme tell you something,huku tunatumia hiace kama family car when we go out,may be picnic or beach,tena si hiace hizo,ni hiace new model,sijui unaelewa?!
 
The newest Overpass in Nairobi,,more are coming, actually we launch like two per year,#construction back to back😍😋
image_2020-11-28_233933.png
image_2020-11-28_234104.png
 
Hawezi wala haitotokea akapnyesha nyumba zenyewe, kwasababu anajua atadhalilika, hizo picha nyingi sio Tanzania, ambazo ni Tanzania nyumba ni nzuri sio mabanda ndio sababu anaonyesha picha kwa mbali.
Weka tuone hadi ukuta na milango ya nyumba ili kujua aina ya nyumba.

Tuonyeshe hizo dream houses tuzione kwa karibu, hapo hizo picha tunaona bati kwa juu, haionyeshi kwamba ni mabanda au ni nyumba za tofali, tunataka kuona kama hizi


Sisi hatuna slums. Tuko na dream houses. Walisikika watanzania wakisema 😂 😂
PhotoGrid_1606743842820.jpg
PhotoGrid_1606743775339.jpg
PhotoGrid_1606743734743.jpg
PhotoGrid_1606743652824.jpg
PhotoGrid_1606743707708.jpg
 
Unapambana sana na huku data zako zinapingana, hiyo ramani inaonesha tz kuna slums nyingi kuliko ke ilhali hapo world bank inaonesha tangu 2015 tz haijawahi kuipita ke kwa slums. Population living in slums (% of urban population) - Tanzania | Data vs Population living in slums (% of urban population) - Kenya | Data
na wakienda kwa ground hawatakuta slum tz ng'o
Kwa hivyo leo kuna slums Tanzania? 😂 😂 Tuamini nani kati yako na vilaza wenzako wanaosema hamna?
 
Picha ya pili ndio picha halisi ya makazi, unaweza kuona hizo ni nyumba za blocks, zikiwa na madirisha na milango, ndani zote zina vyoo, na "sanitations" ni nzuri.

Picha ya kwanza ni sehemu ya biashara, hakuna makazi ya watu hapo, picha ya nne ni karakana hakuna watu wala makazi ya watu.

Weka video kama hizi
 
Ndio kazi ya BRT na BRT zote duniani ndio kazi yake😃😃👇👇👇 akili za mkenya ni za kimskini sana
View attachment 1638314View attachment 1638315View attachment 1638316View attachment 1638317
Kama mwendo ni huo basi hakuna cha kujivunia hapa. Mbona niingie kwenye basi kisha nibanwe na watu mithili ya gunia za mahindi kwenye kona? Alafu nijione eti natumia huduma bora ya usafiri!! Eti nivumilie kusimama kando ya mtu ananuka makwapa na mdomo! No nimelipa nauli!!!!
 
Picha ya pili ndio picha halisi ya makazi, unaweza kuona hizo ni nyumba za blocks, zikiwa na madirisha na milango, ndani zote zina vyoo, na "sanitations" ni nzuri.

Picha ya kwanza ni sehemu ya biashara, hakuna makazi ya watu hapo, picha ya nne ni karakana hakuna watu wala makazi ya watu.

Weka video kama hizi

Denial as usual. You will even deny your own existence soon
 
Back
Top Bottom