komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Sisi tunataka our Debt to GDP ratio ifike 150% by 2022. Hiyo 80% bado ni kidogo sana.





Ndio jamaa waumie zaidi haswa, duh!!we kwel unajua kuwaumiza hawa jamaa
Sisi tunataka our Debt to GDP ratio ifike 150% by 2022. Hiyo 80% bado ni kidogo sana.





ushaambiwa sema una ukakasi unakuwasha,,,Ndio unieleweshe wapi kivipi mlipie toll fee katika hyo barabara wakati ni financed by the govt...
Hzo hela zinalioa deni gani?
So ipaswa iandikwe hivi, finaced by NSSF tanzania wala sio govt..ushaambiwa sema una ukakasi unakuwasha,,,
ni ivi hiyo project ilidhaminiwa na NSSF ambayo pia ipo chini ya government lakini haimaanishi kwamba kwa kuwa ipo chini ya government eti ishindwe kufanya shughuli zake za kimaendeleo ,,,,mfano kubuni miradi yao binafsi ya kuuingizia mfuko kipato kwa ufupi NSSF ina majukumu yake na inaweza ikafanya chochote kwa kusimamia miradi yao,,,,kilichofanyika kwa NSSF walisimamia project nzima kwa kutoa pesa kutoka kwenye mfuko wao na mwisho wa siku wanajiingizia kipato kupitia hiyo project.....kwa kuwa wanapopata wao pia serikali kuu nayo inapata mapato hivyo pesa inakuwa inazunguka ndani ya serikali ya Tanzania si kwa mchina kama mnachokifanya nyie
nj vitu normal sana
hizo ni missng typng tu... usiwe na wasi mama masakuu....So ipaswa iandikwe hivi, finaced by NSSF tanzania wala sio govt..
Wazee wa kukopa chini chini hamuishiwi vituko, hapo movie ilichorwa kitambo cz hta kenya pia NSSF iko na wala hatujaona huo udubwasha..
Lkn tunawaelewa nyie wazee wa mizengwe
Typo error katika mradi mkubwa km huo, we vipi bana emu acha kuisemea uongo serekali yako bana..hizo ni missng typng tu... usiwe na wasi mama masakuu....
kama nyie hamuwezi kutumia pesa za ndani mnategemea nini,,mnataka tufanane ama...?..
unaambiwa usiforce tufanane,,nyie endeleeni kutegemea source ya kipato kutoka ng'ambo ndiyo iwajengee miradi yenu yote.....
kumbuka Tanzania ni Tanzania na kenya ni kenya kila nchi ina uendeshwaji wake
DSM is very hot
Hii ndo brt yenu!mbona imekaa kama mbukinya!?...duh mnajitahidi kushindana na tz.!
Soon utaskia Kenya GDP is $200bln ili ku-dilute loan! Yaani Kenya ina deni kubwa kuliko Nigeria!But la ajabu debt to GDP ratio tanzania is 32% while kenya is over 80 going to 90%😁😁😁😁😁😁 mpaka munapewa alert ya kuingia redline au hujasoma
View attachment 1635891
Kilimani yenyewe 3/4 ni msitu mnene,jengeni majengo kwanza dar si size yenuOk, chagua place moja Dar enye unajiamini nayo tulinganishe na Kilimani.![]()
ushafel unaforce uke wako ukae mdomoni wakati hapo ulipokaa ndiyo sehemu sahihi ulipoumbiwa ......Typo error katika mradi mkubwa km huo, we vipi bana emu acha kuisemea uongo serekali yako bana..
GOT ndio inajua kwn imechora hyo racket wala sio nyinyi wanenguaji..




Kilimani yenyewe 3/4 ni msitu mnene,jengeni majengo kwanza dar si size yenu
Tangu NCR ianze kazi zile kelele za BRT ziliisha
Toa ujinga hapa🤣🤣🤣Mnatia huruma!!!..yaani mnataka kufananisha ile chuma chakavu na dar brt?!!🤣🤣🤣
Huko ni kuishushia hadhi brt,sisi hatuoni hiyo skrepa kama inaweza shindana na brt ya dar ndo maana hatuzungumzii...stop joking aisee🤣🤣🤣
Ndo mnavyoongopewa eeehhh..halafu we jamaa unakuwaga boga sana,nairobi kamwe haiwezi kuwa wealth kuzidi dar baba laoAre you aware that hiyo misitu ni 2 times wealthier than Dar?
Dar ni baba la miji maskini kama Bujumbura and Mogadishu juu Dar enyewe pia ni mji maskini. Ikifika kwa Nairobi hata msiote anything like that.Ndo mnavyoongopewa eeehhh..halafu we jamaa unakuwaga boga sana,nairobi kamwe haiwezi kuwa wealth kuzidi dar baba lao
Nijueje km wewe ndio mwanmke mwanake mi hunijui sikujuiushafel unaforce uke wako ukae mdomoni wakati hapo ulipokaa ndiyo sehemu sahihi ulipoumbiwa ......![]()
Kumbe bado haijafika 500% of GDPBut la ajabu debt to GDP ratio tanzania is 32% while kenya is over 80 going to 90%😁😁😁😁😁😁 mpaka munapewa alert ya kuingia redline au hujasoma
View attachment 1635891
Mtanzania katika ubora wakeHii ndo brt yenu!mbona imekaa kama mbukinya!?...duh mnajitahidi kushindana na tz.!