Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio unieleweshe wapi kivipi mlipie toll fee katika hyo barabara wakati ni financed by the govt...
Hzo hela zinalioa deni gani?
ushaambiwa sema una ukakasi unakuwasha,,,

ni ivi hiyo project ilidhaminiwa na NSSF ambayo pia ipo chini ya government lakini haimaanishi kwamba kwa kuwa ipo chini ya government eti ishindwe kufanya shughuli zake za kimaendeleo ,,,,mfano kubuni miradi yao binafsi ya kuuingizia mfuko kipato kwa ufupi NSSF ina majukumu yake na inaweza ikafanya chochote kwa kusimamia miradi yao,,,,kilichofanyika kwa NSSF walisimamia project nzima kwa kutoa pesa kutoka kwenye mfuko wao na mwisho wa siku wanajiingizia kipato kupitia hiyo project.....kwa kuwa wanapopata wao pia serikali kuu nayo inapata mapato hivyo pesa inakuwa inazunguka ndani ya serikali ya Tanzania si kwa mchina kama mnachokifanya nyie

nj vitu normal sana
 
ushaambiwa sema una ukakasi unakuwasha,,,

ni ivi hiyo project ilidhaminiwa na NSSF ambayo pia ipo chini ya government lakini haimaanishi kwamba kwa kuwa ipo chini ya government eti ishindwe kufanya shughuli zake za kimaendeleo ,,,,mfano kubuni miradi yao binafsi ya kuuingizia mfuko kipato kwa ufupi NSSF ina majukumu yake na inaweza ikafanya chochote kwa kusimamia miradi yao,,,,kilichofanyika kwa NSSF walisimamia project nzima kwa kutoa pesa kutoka kwenye mfuko wao na mwisho wa siku wanajiingizia kipato kupitia hiyo project.....kwa kuwa wanapopata wao pia serikali kuu nayo inapata mapato hivyo pesa inakuwa inazunguka ndani ya serikali ya Tanzania si kwa mchina kama mnachokifanya nyie

nj vitu normal sana
So ipaswa iandikwe hivi, finaced by NSSF tanzania wala sio govt..

Wazee wa kukopa chini chini hamuishiwi vituko, hapo movie ilichorwa kitambo cz hta kenya pia NSSF iko na wala hatujaona huo udubwasha..
Lkn tunawaelewa nyie wazee wa mizengwe
 
wakuu oneni vituko jinsi watu wanavyojisumbua....
20201127_165902.jpg
 
So ipaswa iandikwe hivi, finaced by NSSF tanzania wala sio govt..

Wazee wa kukopa chini chini hamuishiwi vituko, hapo movie ilichorwa kitambo cz hta kenya pia NSSF iko na wala hatujaona huo udubwasha..
Lkn tunawaelewa nyie wazee wa mizengwe
hizo ni missng typng tu... usiwe na wasi mama masakuu....

kama nyie hamuwezi kutumia pesa za ndani mnategemea nini,,mnataka tufanane ama...?..

unaambiwa usiforce tufanane,,nyie endeleeni kutegemea source ya kipato kutoka ng'ambo ndiyo iwajengee miradi yenu yote.....

kumbuka Tanzania ni Tanzania na kenya ni kenya kila nchi ina uendeshwaji wake
 
hizo ni missng typng tu... usiwe na wasi mama masakuu....

kama nyie hamuwezi kutumia pesa za ndani mnategemea nini,,mnataka tufanane ama...?..

unaambiwa usiforce tufanane,,nyie endeleeni kutegemea source ya kipato kutoka ng'ambo ndiyo iwajengee miradi yenu yote.....

kumbuka Tanzania ni Tanzania na kenya ni kenya kila nchi ina uendeshwaji wake
Typo error katika mradi mkubwa km huo, we vipi bana emu acha kuisemea uongo serekali yako bana..

GOT ndio inajua kwn imechora hyo racket wala sio nyinyi wanenguaji..
 
Typo error katika mradi mkubwa km huo, we vipi bana emu acha kuisemea uongo serekali yako bana..

GOT ndio inajua kwn imechora hyo racket wala sio nyinyi wanenguaji..
ushafel unaforce uke wako ukae mdomoni wakati hapo ulipokaa ndiyo sehemu sahihi ulipoumbiwa ......
 
Tangu NCR ianze kazi zile kelele za BRT ziliisha




Mnatia huruma!!!..yaani mnataka kufananisha ile chuma chakavu na dar brt?!!🤣🤣🤣
Huko ni kuishushia hadhi brt,sisi hatuoni hiyo skrepa kama inaweza shindana na brt ya dar ndo maana hatuzungumzii...stop joking aisee🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom