Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Hahahha umesha changanyikiwa ...akuna upanga hapo...mzigo wa upanga hauna kelele unatuma wadogo zake ....Kilimani imefanya uitishe usaidizi from Upanga![]()






naona usha vurugwa
Hahahha umesha changanyikiwa ...akuna upanga hapo...mzigo wa upanga hauna kelele unatuma wadogo zake ....Kilimani imefanya uitishe usaidizi from Upanga![]()






naona usha vurugwa
👇👇👇👇👇👇 utalia sana mwaka huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏🥰You have killed it bro,it's lit🔥🔥
Kwan tukilipa serekali yetu kuna ubaya gani hzo kodi zikajenga mahospitali na barabara lakini nyinyi munaenda kumlipa mchina miaka 30 bila huruma alaf hapo hapo wafanyakazi wote watakua wachina na mishahara minono😄😄😄😄Km pesa za serekali mbna msitumie bure km ile highway ya kwenda chatto
Zakuambiwa changanya na zako, hela za ndani hku wnaanchi wanatozwa toll fee na deni la taifa kupanda maradufu kuliko awamu zote![]()
Umeon hujaona manake ni kama ulipita wima hvi 😅😅😅😅😅😅Deni za Kenya zinakukula akili hata kuliko sisi wakenya. Kwani unatamani kuwa mkenya au nini?
Ok, chagua place moja Dar enye unajiamini nayo tulinganishe na Kilimani.Hahahha umesha changanyikiwa ...akuna upanga hapo...mzigo wa upanga hauna kelele unatuma wadogo zake ....naona usha vurugwaView attachment 1635729View attachment 1635730View attachment 1635731View attachment 1635735View attachment 1635736View attachment 1635737




Umeon hujaona manake ni kama ulipita wima hvi![]()
Km ni zenu mbna basi mlipie toll na mradi ni wa publicNssf si ni pesa zetu wenyewe? Au nssf ni ya China?


Hata hii ubungo inawezana tuuOk, chagua place moja Dar enye unajiamini nayo tulinganishe na Kilimani.![]()

au unaonaje...mana ile kinondoni haiwezaniNimesema chagua moja na sio kuanza kulialia hapa.
Buildings zote za Dar zimeishia hapo.
Lazima deni mlilokopa siri siri lilipwe kw kiaina..toll fee kw pesa za ndani my footKwan tukilipa serekali yetu kuna ubaya gani hzo kodi zikajenga mahospitali na barabara lakini nyinyi munaenda kumlipa mchina miaka 30 bila huruma alaf hapo hapo wafanyakazi wote watakua wachina na mishahara minono![]()


Eti mnachangia serekaliKwan kuna ubaya tukachangia serekali yetu nyie mutamchangia nani mchina miaka 30ushuru 600ksh watakaopita hapo mutanihesabia



Naona mumeacha kwenda sauzi kisa eti kuna vurugu, naona mpka zari kaamua kutumi kqWataangalia opportunities wakurugenzi lakini kwa kifupi ndege zinaongezwa nyingi na route zitakua nyingi hasa kwa nchi za africa na asia pamoja na middle east
Nimekupa ubungo au hujaonaNimesema chagua moja na sio kuanza kulialia hapa.
Huwezi kuelewa kama nimejibu swali ama la,kutokana na akili yako ya kuendea msalaniMbna hujajibu swali
Wao wanapagawa na hilo neno "PPP"..yaani sijawahi mazuzu kama makenya!..Labda tujenge kwa pesa yetu na sio ijengwe na mtu alaf aanze kutukamua ushuru hilo halipo hua hatuingii kwenye biashara hazina tija na faida kwa wananchi
hvi kwa kutumia akili 600ksh per car then how many of them will afford ushawah jifkiria hilo
hata mchina alitaka kujenga chalinze expressway kwa ppp lakini magufuli alikataa hata bagamoyo port ilikua ni ppp magufuli alachomoa tena sijui unashangaa nn ww😀😀
Unajua maana ya purchasing power?!!!...usiwe kama teargas anazungumzia ppp na hajui ni kitu ganiWatanzania hawana purchasing power kuliko wakenya, na hyo ni facts km alivyokwambia teargas