Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilimani imefanya uitishe usaidizi from Upanga
Hahahha umesha changanyikiwa ...akuna upanga hapo...mzigo wa upanga hauna kelele unatuma wadogo zake ....naona usha vurugwa
JamiiForums-1031940173.jpg
JamiiForums-1007796044.jpg
JamiiForums1795548746.jpg
JamiiForums1235899731.jpg
JamiiForums2037408043.jpg
JamiiForums-630642152.jpg
 
Km pesa za serekali mbna msitumie bure km ile highway ya kwenda chatto
Zakuambiwa changanya na zako, hela za ndani hku wnaanchi wanatozwa toll fee na deni la taifa kupanda maradufu kuliko awamu zote
Kwan tukilipa serekali yetu kuna ubaya gani hzo kodi zikajenga mahospitali na barabara lakini nyinyi munaenda kumlipa mchina miaka 30 bila huruma alaf hapo hapo wafanyakazi wote watakua wachina na mishahara minono😄😄😄😄
 
Kwan tukilipa serekali yetu kuna ubaya gani hzo kodi zikajenga mahospitali na barabara lakini nyinyi munaenda kumlipa mchina miaka 30 bila huruma alaf hapo hapo wafanyakazi wote watakua wachina na mishahara minono
Lazima deni mlilokopa siri siri lilipwe kw kiaina..toll fee kw pesa za ndani my foot
 
Wataangalia opportunities wakurugenzi lakini kwa kifupi ndege zinaongezwa nyingi na route zitakua nyingi hasa kwa nchi za africa na asia pamoja na middle east
Naona mumeacha kwenda sauzi kisa eti kuna vurugu, naona mpka zari kaamua kutumi kq
 
Labda tujenge kwa pesa yetu na sio ijengwe na mtu alaf aanze kutukamua ushuru hilo halipo hua hatuingii kwenye biashara hazina tija na faida kwa wananchi

hvi kwa kutumia akili 600ksh per car then how many of them will afford ushawah jifkiria hilo

hata mchina alitaka kujenga chalinze expressway kwa ppp lakini magufuli alikataa hata bagamoyo port ilikua ni ppp magufuli alachomoa tena sijui unashangaa nn ww😀😀
Wao wanapagawa na hilo neno "PPP"..yaani sijawahi mazuzu kama makenya!..
 
Back
Top Bottom