Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii meli nimeifuatilia kwa ukaribu kwenye youtube sasa huwezi kunidanganya. Tangu makontena ziwasili TZ na vyuma vilivyokatwa kuanza kuunganishwa. Nimekuwa nikitazama.
Kwani unafkiri ni moja nimekwambia pitia hapa kuna kampuni inaitwa songoro marine mzeee ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Aliekwambia wachina wanajenga nani ndivo munavojidanganya nyinyi๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„







 

IMG_0879.jpg

IMG_0878.jpg
 
600ksh hahahah nani ana hio pesa ya kulipa wakat treni 100 wakenya wamelia
Ile ilikua wakenya wenywe ndio wanajiropokea mitandaoni, nayo nkm hii 600 yako..serekali itakuja kuwaumbua..

Alafu per KM nyie ndio mnatoza pesa nyingi
 
Au nyie Mkisikia PPP mpaka pesa ingine iwe ya mchina!?
Umekuja kutetea ujinga wa mwenzako sio, manake ilikua anaongea pumba na akakataa km hko hakuna mradi wa ppp na wakati kigamboni watu kumbe wanalipa toll fee
 
Tatizo lako na wewe unapenda ligi.. mimi mashindano sijui.. Mie naburudika tu humu maana hii haziongezi kipato wala kuboresha afya.. ๐Ÿ™‚

Sasa wewe uko argument mode always... Hahahaha.

We njoo tule chips... Tuu.. mie kwenye ubishi mvivu ndugu yangu.
Ona huyu, man! Mwanaume hafai kuwaza chipo bana
 
Nijibu nn wakat mm sio miongoni mwa kamati ya shirika wao wanamambo yao na kuna ndege 3 zinaingia 2020/2021. Alaf kuna 5 zingine zishaagizwa kaa mkao wa kula
Kwhyo hzo zilizoagizwa zikija ndio mtatinga SA sio
 
We si ulisema km hko kwenu hakuna mradi wa ppp
Naona sai ndio umekubali tena kinyonge
Nikubali nn wakat ni nssf na serekali zote mali ya serekali au hujui hilo sasa kwenu ni mchina miaka 30๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ile ilikua wakenya wenywe ndio wanajiropokea mitandaoni, nayo nkm hii 600 yako..serekali itakuja kuwaumbua..

Alafu per KM nyie ndio mnatoza pesa nyingi
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
Back
Top Bottom