Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kesi gani mzee zinajulikana na nani???๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… tatizo lenu nyinyi mumebakia kuipmbea tanzania mabaya kwasababu inafanya mambo makubwa ambayo nyinyi hamujayafanya na hayatafanyika
Wewe wacha ujinga. Kesi ambazo investors kama yule mkulima aliyefanya ndege kushikwa Afrika kusini na kampuni nyingine ya mining ilifile kesi kwenye nchi za Wazungu hadi kufanya Canada kukamata ndege yenu. Ukweli haupingiki mzee. Na ukiendelea kupinga viujinga ujinga evidence zipo mitandaoni naweza kuzimwaga. Hizi kesi havijafichika. Viko wazi tu mtu yeyote anaweza kuvigoogle tu.
 
Wewe wacha ujinga. Kesi ambazo investors kama yule mkulima aliyefanya ndege kushikwa na kampuni nyingine za mining zimefile makesi kwenye nchi za Wazungu. Ukweli haupingiki mzee. Na ukiendelea kupinga viujinga ujinga evidence zipo mitandaoni naweza kuzimwaga. Hizi kesi havijafichika. Viko wazi tu mtu yeyote anaweza kuvigoogle tu.
Mkulima alishashindwa na hata south africa alishindwa ardhi ya tanzania inamilikiwa na watanzania tu ndivo sheria inasema
Mumebakia kuipakazia tanzania sifa mbaya kwasababu inafanya mambo yasiowezekana acheni ujinga ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mkulima alishashindwa na hata south africa alishindwa ardhi ya tanzania inamilikiwa na watanzania tu ndivo sheria inasema
Mumebakia kuipakazia tanzania sifa mbaya kwasababu inafanya mambo yasiowezekana acheni ujinga ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Kama mkulima ameshindwa mbona ATCL haiendi SA? Kama hio kesi imeisha mbona ATCL haiwezi kukanyaga SA???
 
Mimi ni nani nipingane na TPA


Hii SECO engineering inaonekana ni a very serious engineering firm. Kuna order ya badge kutoka Tanzania ambayo wameshajenga na kudeliver Tanzania. So hii ni order nyingine tena wamepewa.
 
Hii SECO engineering inaonekana ni a very serious engineering firm. Kuna order ya badge kutoka Tanzania ambayo wameshajenga na kudeliver Tanzania. So hii ni order nyingine tena wamepewa.
nioneshe project moja waliotengeza meli ukipata tag me
 
Sema wachina wanajenga meli low quality huko. Watanzania hawana akili ya kuunganisha hata chuma
Nyie mnaassemble meli. Hamjengi. Kuna tofauti ya kuassemble na kujenga. Sisi tunajenga meli nyie mnaassemble. Nyie mnaimport knock-down kits (vyuma vilivyokatwa) kutoka South Korea in Containers halafu mnaanza kuziunganisha
 
Nyie mnaassemble meli. Hamjengi. Kuna tofauti ya kuassemble na kujenga. Sisi tunajenga meli nyie mnaassemble. Nyie mnaimport knock-down kits (vyuma vilivyokatwa) kutoka South Korea in Containers halafu mnaanza kuziunganisha
Nani ana assemble unawazimu wa kichwa wewe๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Aliekwambia wachina wanajenga nani ndivo munavojidanganya nyinyi๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„







 
Nani ana assemble unawazimu wa kichwa wewe๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Hii meli nimeifuatilia kwa ukaribu kwenye youtube sasa huwezi kunidanganya. Tangu makontena ziwasili TZ na vyuma vilivyokatwa kuanza kuunganishwa. Nimekuwa nikitazama.
 
Back
Top Bottom