Duh,hiyo the rest of the world unayosema walifuata 100% miongozo ya WHO ,na sisi pia tulijaribu kufuata lakini ile ambayo case zilipanda kwa kasi ya ajabu(kama unakumbuka lakini) serikali kupitia raisi mwenyewe akaitisha kikao na viongozi wa vyombo vya ulinzi na wataalamu wake,unajua ni kwa nini vyombo vya ulinzi?,kwanza serikali ya tz ilichukulia covid kama threat ya ki-usalama wa taifa,na si public health kama mlivyochukulia ninyi na WHO walivyotaka tuchukulie,na 90% ya mataifa ndivyo yalivyochukulia corona,na kwa kuwa ni threat ya usalama wa taifa tunawajua jirani zetu wanaotumika kama vibaraka,tukaamua kuwakwepa hasa kagame na huyo mlevi kunyatta,na ndo maana kipindi kile ulikuwa unaona kabisa migongano..
Kile kikao wakubwa walikuna sana vichwa,wakipiga hesabu ni namna gani hizi case zimeongezeka toka 123 hadi 500 ndani ya siku 2,wakaja na majibu either vile vifaa vya test huenda vikawa faulty,kwa hiyo wakakubaliana wapeleke sampuli ya vitu visiyo binadamu,vitu ambavyo si rahisi kuathirika na covid bila ya watu wa maabara kujua,zile sampuli zikapewa majina ya watu..baada ya kupima zile sampuli zikaja na majibu kwamba zina covid..ile kamati ikajiridhisha kuwa vifaa vile ni faulty,kwa sababu kama imewezekana sampuli ya papai kuwa positive,inashindikanaje sampuli ya mtu negative kuja na majibu ya postive!!??unaelewa hapo(kumbuka haya madai si tanzania tu,hata England,india,iran,south korea,germany,USA walilalamikia test tools kuwa zinatoa majibu ya uongo)
Kwa hiyo kuna uwezekano zile case 500+ huenda kuna njemba ni negative,ila kwa kuwa test tools ni faulty zimeleta jibu positive..kitu cha kwanza kabisa yule bibi wa maabara aliyesomea germany akatumbuliwa,pili kamati ikaja na solution kabambe,kwanzi ni kujikita katika kuwaondolea watu fear(hofu) hii kwa wataalam wa psychology wanaelewa,pili kuwapa watu tumaini(mfano kuwaambia watu kuwa corona inatibika kwa malimao,kujifukiza,tangawizi n.k,pia raisi mwenyewe alikuwa akiwaambia watu kuwa corona ni ka-ugonjwa kadogo tu,ni mafua tu. .!si kwamba alikuwa anadharau corona la hasha alikuwa anawapa wananchi wake tumaini)..
Ukifanya utafiti utagundua kuwa kutaja cases hadharani ni kuongeza taharuki kwa jamii,hivyo serikali ikaamua kufungia kabisa data,ukiwa na kichwamaji huwezi kuelewa kilichofanyika hapo..
Hayo yote niliyoyataja hayakutolewa na WHO,bali ni vichwa adhimu kutoka tz,kama kweli ulisoma vizuri elimu yako utaona kabisa utaalamu na weledi wa hali ya juu uliofanywa na serikali ya tz ktk kupambana na covid chini ya amir jesh mkuu mh pombe magufuli