Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Hatari 🔥 bro
Hio inafika 6m mzee😊
Hio inafika 6m mzee😊
Yeah na trump akisema African countries are sh!thole mnalalamika 😂😂😂Yaani California state with a GDP ya $2.5t is almost the same na Africa yote!!!
Tuedelee ku zoom au wasemaje
California is the 4th or 5th largest economy in the worldYaani California state with a GDP ya $2.5t is almost the same na Africa yote!!!
Yeah thats Is true we need true federalism without govt interference true laissez faire capitalism where people are allowed to operate private prisons, private airports etc not stupid govt regulations and bureaucracy not forgetting really low taxes smes shouldn't even pay taxesMimi husema ni mtu binafsi ajitume ajikomboe, la sivyo sioni ukombozi kutoka katika serikali yeyote Africa! Hakuna! Let them just create condusive environment by building infrastracture, wakuchangamka tuchangamke, wakuzubaa shauri yao.
Mlima kitonga has concreteNionyeshe yenye ilijengwa Tanzania before Mbagathi way
Nionyeshe hiyo concrete road yenye ilijengwa Dar before Mbagathi Way.
I said, a concrete road that was constructed BEFORE Mbagathi Way.BRT yoote ya dar wametumia zege.ila ni km ngapi sijui lakini kutoka posta nenda mpaka mbezi .rudi gerezani mpaka moroco.
Brt yenyewe ni concrete au huna akili ww😂😂Jibu swali wee choo.
Ndio hapo namshangaa huyu mbiga😂😂BRT yoote ya dar wametumia zege.ila ni km ngapi sijui lakini kutoka posta nenda mpaka mbezi .rudi gerezani mpaka moroco.
California and newyork both are developed cities while nairobi and dar are developing citiesCalifornia is the 4th or 5th largest economy in the world
even New York City GDP is bigger than the whole African continent GDP
Jibu basi plz😂😂👇👇Tuedelee ku zoom au wasemaje
Niambie basi nani kapost hii picha 😂😂👇
View attachment 1633247
Watu wanabishania km yeye anakwambia kujengwa ya kwanza😂😂😂😂BRT yoote ya dar wametumia zege.ila ni km ngapi sijui lakini kutoka posta nenda mpaka mbezi .rudi gerezani mpaka moroco.
Lagos na na dar zimeishinda jozi aisee![]()
Iam comparing them with AfricaCalifornia and newyork both are developed cities while nairobi and dar are developing cities
So u compare with developing cities😂😂Iam comparing them with Africa
California is developed state not a city
I just said iam comparing them with the African continent why are you slowSo u compare with developing cities😂😂
Naona ni kuzaana ndio kitu , tumetilia manani, safari bado ndefu sanaAfrika tunaburuza mkia kwenye kila idaraView attachment 1633175View attachment 1633176
We nae kuwa uwe unaficha ujinga wako japo kdg, kwn USA hawajafanya maombi? Failed state hamjafanya maombi? Na mbn bado inawachinja? Mnatakiwa mkubali tu ukweli kwmb tz imeifundisha dunia kitu ilipaswa ifanyike japo inauma.Hebu niambie, nyinyi mlipambana na hii pandemic in which effective way kando na Kuandaa maombi na kubania data? Which method did you employ to combat covid that the rest of the world didn't?