Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtwara port inapitisha mizigo ya 273,000 tonnes kwa mwaka wakati Mombasa port inapitisha mizigo ya 30 million tonnes halafu huna aibu wala haya kupost upupu huo hapa? Yaani Mombasa port inapitisha mizigo mara tisini (×90) ya Mtwara. Hii ni aibu kwa East Africa. Usipost Mtwara tena siku nyingine. Hio ni white elephant kubwa sana.
Hebu linganisha 273,000 tonnes na 30 million tonnes. Hahaha Mtwara ni white elephant.



Geza Ulole
Can now handle 400,000 au hujasoma hapo baada ya expansion au uchizi unakusumbua ww

inakuaje white elephant alaf mizigo inaongezeka au unazungumzia white elephant lamu port
 
Can now handle 400,000 au hujasoma hapo baada ya expansion au uchizi unakusumbua ww

inakuaje white elephant alaf mizigo inaongezeka au unazungumzia white elephant lamu port
Hatuongei kuhusu port capacity, tunaongea kuhusu the amount of tonnage handled. Capacity ni useless na haitusaidii. Capacity ni 400,000 tonnes lakini the actual amount handled ni 273,000 tonnes. Usijaribu kubadilisha gear angani.
 
Can now handle 400,000 au hujasoma hapo baada ya expansion au uchizi unakusumbua ww

inakuaje white elephant alaf mizigo inaongezeka au unazungumzia white elephant lamu port
Hata nikukuonea huruma halafu niassume kuwa Mtwara port inahandle 400,000 tonnes bado Mombasa port itakuwa inahandle mizigo mara sabini na tano (×75) ya Mtwara port. 30,000,000÷400,000 = 75. Hahaha bado 400,000 tonnes ya Mtwara port ni mchezo wa kitoto kwa Mombasa port.
 
Can now handle 400,000 au hujasoma hapo baada ya expansion au uchizi unakusumbua ww

inakuaje white elephant alaf mizigo inaongezeka au unazungumzia white elephant lamu port
Mombasa port inahandle 400,000 tonnes kwa siku tano tu.
 
Baada ya hapo zinaenda wapi!?
Kenya ni karibu 70%. Uganda ni around 20%. The rest of EA ni less than 10% ya mizigo. Hizi ni rough estimates. Sio accurate figures. Ukitaka accurate figures nenda kafanye research yako mwenyewe.
 
Hata nikukuonea huruma halafu niassume kuwa Mtwara port inahandle 400,000 tonnes bado Mombasa port itakuwa inahandle mizigo mara sabini na tano (×75) ya Mtwara port. 30,000,000÷400,000 = 75. Hahaha bado 400,000 tonnes ya Mtwara port ni mchezo wa kitoto kwa Mombasa port.
Na lamu ina handle ngap??😂😂😂
 
Hata nikukuonea huruma halafu niassume kuwa Mtwara port inahandle 400,000 tonnes bado Mombasa port itakuwa inahandle mizigo mara sabini na tano (×75) ya Mtwara port. 30,000,000÷400,000 = 75. Hahaha bado 400,000 tonnes ya Mtwara port ni mchezo wa kitoto kwa Mombasa port.
Hzi ndio zile hesabu za dukani za kununua peremende na sabuni😂😂😂😂
 
Kushinda kina Mondi,Harmonize na Hamorapa jamaa yaani nyie ni sura kiatu kutisha kuanzia viongozi wenu hadi wasanii
Zombi
2617177_111-16.jpg
 
December hii the expansion of Mtwara port to 1mln ton cargo capacity is to be launched! The size of Lamu port!
Mombasa port pia iko under expansion
Mombasa port inahandle more cargo than all ports in Tanzania combined it's the same story with jkia
 
Back
Top Bottom