Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Halafu we demu mbona mkali sana,yaani una hasira kichizi au una mimba?Naona sasa umeanza zile taarab zenu, kwn uliitwa hku..we km huna hoja kaba acha kushobokea watu
Halafu we demu mbona mkali sana,yaani una hasira kichizi au una mimba?Naona sasa umeanza zile taarab zenu, kwn uliitwa hku..we km huna hoja kaba acha kushobokea watu
Watch this video kisha uje na summary.
Mombasa to mariakani wanajenga four lanes wewe na inamiminiwa we unakuja na ujinga wa matamshi ya serekali yenu
Tanzania tangu ianzishwe haijawahi kumpigia magoti yeyote.Anaota kibururi cha vita baridi kuvileta sasa!
Sasa hayo m4vi ndio umeamua kujiaibisha!? 🤣 🤣🤣Mombasa to mariakani wanajenga four lanes wewe na inamiminiwa we unakuja na ujinga wa matamshi ya serekali yenuView attachment 1631687
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Ulifanyiwa sanctions kulipokuwa na Eastern block! Saahii hawapo mzee.Tanzania tangu ianzishwe haijawahi kumpigia magoti yeyote.
Tulishawahi kufanyiwa sanctions na hatukumwabudu yeyote.
Tutashirikiana na yule anayeheshimu utu wa mwafrika.
Leta evidence Mombasa Mariakani is concrete n above 38 km!Mombasa to mariakani wanajenga four lanes wewe na inamiminiwa we unakuja na ujinga wa matamshi ya serekali yenuView attachment 1631687
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Mwenzako juzi kakimbiaSasa hayo m4vi ndio umeamua kujiaibisha!?
Yaani tusubiri mambo kama haya
Ushahidi gani huo unaotakaLeta evidence Mombasa Mariakani is concrete n above 38 km!
Wakenya wote piteni hapa muone wanaume wanaongeaHuu hapa ndio msimamo wa Tanzania.
Haya mambo yapo Kenya tu.
Alafu Hata mwendokasi huku Tz Ni zegeLeta evidence Mombasa Mariakani is concrete n above 38 km!
ichoboy01Ushahidi gani huo unaotaka
Hata ya magongo na pale makupa walipiga concrete chini alafu wakadunga asphalt juu..
View attachment 1631688
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Una bahati leo nimeokoka sitaki storiUngekua unaonyesha tabia ya upole kama hii leo,ningeshakuja hapo kwenu kibera kuleta posa ya uchumba
Watanzania wenzako wachuuzi hku wanapakimbia wanaenda kuishi mabandani ili angalau wachangishe changishe wakale bata tz..
👏👏We are the king forever,plz don't dream dar port overtaking us,,haitawahi wezekanaMombasa port, happy now?