kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,765
- 3,070
Usisahau kuna upcoming Overpass pale ngong road Kama hii,to be constructed soonKenya putting East Africa on the world map.View attachment 1631463
Usisahau kuna upcoming Overpass pale ngong road Kama hii,to be constructed soonKenya putting East Africa on the world map.View attachment 1631463
Mimi nimekupea break-down ya destination ya mizigo za Mombasa port. Majority destination ni Kenya. Around 20% ya mizigo ya Mombasa port destination ni Uganda. Halafu less than 10% ya mizigo ya Mombasa port destination ni other EA countries. Ama bado hujaelewa?Kama 20% ya EA, 80% zinapitia wapi!?
Hii kitu wapi jomba?
Hujajibu maswali yangu.Mimi nimekupea break-down ya destination ya mizigo za Mombasa port. Majority destination ni Kenya. Around 20% ya mizigo ya Mombasa port destination ni Uganda. Halafu less than 10% ya mizigo ya Mombasa port destination ni other EA countries. Ama bado hujaelewa?
Kenya nzima mizigo yote ni Mombasa lazima iwe hivyo,wakati Tanzania INA tumia bandari zake tatuMombasa port inahandle 400,000 tonnes kwa siku tano tu.
Ungekua unaonyesha tabia ya upole kama hii leo,ningeshakuja hapo kwenu kibera kuleta posa ya uchumbaNimewacha basi
Mpk Yesu anarudi, and by that time Dar port itakuwa tayari ni hub of EALamu port it's still under construction be patient
Moro moja hyo kaka, sgr station.Hii kitu wapi jomba?
Ni kweli kabisa hata mm bado cjaelewa ilikuwaje planners waka suggest vile but on the other hand km wanataka isionekane km ilikosewa basi wapafanye pawe ni kijiji cha michezo kwa kujenga other sports infrastructures mfano Arena, aquatic stadium, etc.naona wanataka kurudia yaleyale ya Dar.. uwanja wa uhuru na wa mkapa uko sehem moja.. mim naona viwanja tofauti either football au other events arena ziwe sehem tofauti ili kupendezesha maeneo tofauti na si kupendezesha eneo moja.. mfano hapa Dar uwanja wa mkapa ungejengwa hata maeneo mbagala huko au gombo la mboto au huko maeneo ya kimara or other places.. wa uhuru ungebaki peke yake.. mawazo tu
Sa hi ni gani hub of EA? 🤣Mpk Yesu anarudi, and by that time Dar port itakuwa tayari ni hub of EA
Morogoro terminalHii kitu wapi jomba?
Mombasa port, happy now?Sa hi ni gani hub of EA?
Sijaelewa swali lako. Jaribu kulifafanuaHujajibu maswali yangu.
Huyo ni kilaza ye anadhani almasi ni embeKweli leo inaonekana umekalia dushe vzr mpk umepagawa, aliyekuambia tz hakuna mafuta ni nani?
Alafu we chokoraa dhahabu, tanzanite na almasi unazichukuliaje?
Huu hapa ndio msimamo wa Tanzania.
Watch this video kisha uje na summary.Sijaelewa swali lako. Jaribu kulifafanua
Si mbaya viwanja vikiwa sehemu moja yenye nafasi kama trend ilivyo around the world on sport complexes! Pale Dar wangeangalia namna ya kupanua site na kutenganisha Uhuru na Mkapa.naona wanataka kurudia yaleyale ya Dar.. uwanja wa uhuru na wa mkapa uko sehem moja.. mim naona viwanja tofauti either football au other events arena ziwe sehem tofauti ili kupendezesha maeneo tofauti na si kupendezesha eneo moja.. mfano hapa Dar uwanja wa mkapa ungejengwa hata maeneo mbagala huko au gombo la mboto au huko maeneo ya kimara or other places.. wa uhuru ungebaki peke yake.. mawazo tu 🤷🏾♂️