LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,511
- 3,921
Haka nako sijui kamekolezwa dushe maana kanaongea vitu havieleweki. Kwa hiyo hapo Kenya EU wakiwambia halalisheni ushoga au kusagana mtakubali tu kisa nyie ni nchi maskini? Huo ni mfano tu!Huwezi shindana na umoja wa ulaya km wewe nchi yako ni maskini, yani utapigwa ban hadi ushangae..
Mabeberu hao jamaa, walee wazee wa kusema magu kawabana mko wapi..
Tunaomba awajibu km yeye ni bulldozer na hayumbishwi
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
