Wewe mbona upo kama sikuelewi? Sio wewe nimekusoma hapo ukishadadia hizo sanctions? [emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23]
........
anyway, watajua hawajui kuwa sisi sio makoloni yao tena.. pia naona zile ni mbwembwe tu..
Wewe mbona upo kama sikuelewi? Sio wewe nimekusoma hapo ukishadadia hizo sanctions? [emoji848]
Onyesha lini tanzanian kumetokea vurugu ktk uchaguzi, kabla au baada ya uchaguzi, Kenya ndiko ambako mnachinjana kila uchaguziTuonyeshe lini before kura zipigwe watu wakaleta vurugu...
Hayo ni mambo ya magu na museven tu, uchaguzi bado siku tatu watu wanapigwa risai..
Kisa wanahofia kupokonywa madaraka
Mambo ya kujuana tena in and out??Nikutishe kwa lipi!?. Unanini wewe nikutishe!? Ninajua in and out.
😅😅 Kuna vihoja na viroja humu kama vyote, yaani watu wanapelekwa tu na upepo, hawana msimamo[emoji23][emoji23][emoji23]
........
anyway, watajua hawajui kuwa sisi sio makoloni yao tena.. pia naona zile ni mbwembwe tu..
[emoji28][emoji28] Kuna vihoja na viroja humu kama vyote, yaani watu wanapelekwa tu na upepo, hawana msimamo
Mtu kasikia jambo tu huko, keshapeperuka nalo juu kwa juu, akifika pahala akasikia wenye akili wanatoa maoni yao yenye mantiki, ghafla anageuka msimamo wake wa awali anapepea na upya na msimamo mpya [emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani tafrani
Iki kituo gan?
MorogoroIki kituo gan?
Mtaomba sana jamii zipigane kw ajili ya uchaguzi km ilivyotokea 2007..Onyesha lini tanzanian kumetokea vurugu ktk uchaguzi, kabla au baada ya uchaguzi, Kenya ndiko ambako mnachinjana kila uchaguzi
Nadhani ungeendelea na mjadala.Mambo ya kujuana tena in and out??
Kwani kumjua mtu ni sifa?
Mpka unataka watu wajue kama unamjua?
Halafu mpka umefuatilia ili umjue manake ni special kwako... your idiol.
Embu mjibu mtu kwa hoja acha mambo ya kujifanya unajua watu sijui picha unazo uo ni ushamba.
Tuonyeshe lini wakenya waliuwana kisa uchuguzi kando na 2007..Kenya kila uchaguzi lazima watu wanauliwa sio chini ya
Ila baada ya uchaguzi mnachinjana" in hudreds"
That is very Ok for you to Kill each other after election so Long as before election it was peaceful?
[emoji849][emoji849][emoji849] what?Hivi ni vitu JPM hajui madaraka yamemuingia kichwani! Ngoja dhahabu yetu na watalii kutoka nchi za magharibi wapigwe marufuku kuja tuone tutatoka vipi!
Tunasubiria chanjo ya kuutokomeza upinzani kutoka kw mwansayansi mkongwe aliyewahi kupima mapapai na kinyesi coranaHakuna ugonjwa usio na tiba Tanzania isipokuwa kifo.
Lkn si huo wakati alikua na familia yake, huenda kuna vile waliukwepa na kuutokomeza katika ukoo wao sio[emoji23][emoji23]Tatizo huyaelewi haya magonjwa laiti kama kipindi kile magu ndo angekuwa raisi ukimwi usingeingia bongo,ona anavyoushughulikia beberu kisayansi,na wapinzani wanajiua wenyewe wala usimsingizie pombe
Ndio mukaona muje na BBi iliokula millions of tax payers😂😂😂😂 two yrs before election mushaanza mambo ya siasaMtaomba sana jamii zipigane kw ajili ya uchaguzi km ilivyotokea 2007..
Na kamwe haitowahi tokea, na km ni maandamano hata nyie pemba policcm waliuwa hta uchaguzi bado
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Mbona hata huyo Lissu wao hajafuata masharti ya WHO alipokuwa Tz, tusitishane.mkuu hayo ni majadiliano na sio uamuzi.. sioni jambo la maana hapo.. kama ni maelezo watajibiwa na serikali
afu eti wanalalamika kwann hatujafata masharti yao na WHO kuhusu corona .. yan wanataka tujifungie ndan ili tusiendelee na shughuli zetu za siku za uzalishaji?? 🤷🏾♂️
Hata ya kichawi yana uafadhaliMawazo ya kichawi hayo!
Mambo ya kujuana tena in and out??
Kwani kumjua mtu ni sifa?
Mpka unataka watu wajue kama unamjua?
Halafu mpka umefuatilia ili umjue manake ni special kwako... your idiol.
Embu mjibu mtu kwa hoja acha mambo ya kujifanya unajua watu sijui picha unazo uo ni ushamba.