Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

someni huku [emoji23][emoji23]
Wachangiaji Bunge la Ulaya washauri kukatwa kwa misaada Tanzania https://www.jamiiforums.com/index.p...ashauri-kukatwa-kwa-misaada-Tanzania.1811565/
Hata mimi nilipoisoma nilicheka sana, tena muda huo nilikua naongea na haohao mabeberu kwenye MS Teams wakiwa hukohuko Brussels.

Vitu viiili vilivyonishangaza:
1: hilo la terrorsism Kusini mwa Tanzania linakuwaje ni kosa kwa Tanzania?
2: Issue ya COVID-19 kua eti serikali yeti haijali miongozo ya WHO, eti tunaficha data, sasa mbona mabalozi wao wotenchini including wa USA hawavai barakoa bongo, Kwani wamelazimishwa kutovaa barakoa? mbona waTanzania wanaendelea na shughuli za kila siku bila mashaka yeyote? watalii wanakuja kam kawaida etc...

Nilichogundua ni kamba hao wajumbe wa hiyo kamati hawana any clue about Tanzania, yaani kuna mtu au kikundi cha watu ambao wanawalisha va ery distorted view ya Tanzania. Anyway hawatafanikiwa.

Anglia hio barua hapa chini:
 

Attachments

mkuu hayo ni majadiliano na sio uamuzi.. sioni jambo la maana hapo.. kama ni maelezo watajibiwa na serikali

afu eti wanalalamika kwann hatujafata masharti yao na WHO kuhusu corona .. yan wanataka tujifungie ndan ili tusiendelee na shughuli zetu za siku za uzalishaji?? 🤷🏾‍♂️
Hao wanasiasa hisa zao walizowekeza kwenye makampuni yao ya gesi na madini zimeyeyuka baada ya JPM kubadilisha sheria ya maliasili.

Miradi yote mikubwa ya maendeleo inayofanyika nchini wanapewa wachina, waturuki, wamisri na wakorea, unafikiri wanapenda? Hizo ndizo sababu hasa za makelele na purukushani za punda wakati anakata roho, mambo ya uchaguzi sijui corona ni kutafuta pa kutokea.

If you are being run out of town, get in front of the crowd and make it look like a parade.
 
Ndio mukaona muje na BBi iliokula millions of tax payers[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] two yrs before election mushaanza mambo ya siasa
Siasa haikwepeki, yani iko km bomu la nyuklia vile...
BBI km ina manufaa kw taifa kwnn tusiiangazie na wabadili vile vipengele ambavyo havifai..

Devolution imetufikisha mbali sana, watu miaka hamsini hawajui maendeleo n nn lakini sai yamefika mpka turkana

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Hao wanasiasa hisa zao walizowekeza kwenye makampuni yao ya gesi na madini zimeyeyuka baada ya JPM kubadilisha sheria ya maliasili. Miradi yote mikubwa ya maendeleo inayofanyika nchini wanapewa wachina, wamisri na wakorea, unafikiri watampenda? Hizo ndiyo sababu za purukushani za punda wakati anakata roho, mambo ya uchaguzi ni sababu tuu.
Kwn hao jamaa unafikiria wanaitegemea tanzania katika maisha yao[emoji23][emoji23]
Yani huaga mnapenda kuweka mpka mbajisahau km mpo duniani wala sio akhera

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
someni huku [emoji23][emoji23]
Wachangiaji Bunge la Ulaya washauri kukatwa kwa misaada Tanzania https://www.jamiiforums.com/index.p...ashauri-kukatwa-kwa-misaada-Tanzania.1811565/
Huwezi shindana na umoja wa ulaya km wewe nchi yako ni maskini, yani utapigwa ban hadi ushangae..
Mabeberu hao jamaa, walee wazee wa kusema magu kawabana mko wapi..
Tunaomba awajibu km yeye ni bulldozer na hayumbishwi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
mkuu hayo ni majadiliano na sio uamuzi.. sioni jambo la maana hapo.. kama ni maelezo watajibiwa na serikali

afu eti wanalalamika kwann hatujafata masharti yao na WHO kuhusu corona .. yan wanataka tujifungie ndan ili tusiendelee na shughuli zetu za siku za uzalishaji?? [emoji2377]
Hawa wapuzi hawakuanza leo kuleta ujinga wa kutujadili hata lile bwawa la nyerere waliliikalia kikako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee akalipeleka ivyohivyo...wakajifany mpka kutishia kampuni itakay jiusisha n ujenzi ingekula burn
 
Huwezi shindana na umoja wa ulaya km wewe nchi yako ni maskini, yani utapigwa ban hadi ushangae..
Mabeberu hao jamaa, walee wazee wa kusema magu kawabana mko wapi..
Tunaomba awajibu km yeye ni bulldozer na hayumbishwi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app

usijali, wiki ijayo utasikia taarifa tumepigwa ban!
 
Huyo jamaa au demu ni hovyo kweli Yaani kumjua mtu basi iwe ndo sababu ya kukubali kila kitu. Eti picha anazo sasa si atumie huko chumbani kwake. Yaani jamaa anaona sifa kabisa kua na picha za geza
Ulipata mtoto wa kike au wa kiume!!?
Screenshot_20201119-230854.png
 
Huyo jamaa au demu ni hovyo kweli Yaani kumjua mtu basi iwe ndo sababu ya kukubali kila kitu. Eti picha anazo sasa si atumie huko chumbani kwake. Yaani jamaa anaona sifa kabisa kua na picha za geza
Vita ni vita Mura.
Wewe mjita hujui hayo.
Mkiwa vitani mnapambana askari akianza kwenda kinyume na amri tayari ameshakuwa adui ni kumtandika shaba tu.
 
Hawataki kuambiwa ukweli wa lijalo! Hii maneno inatupeleka Zimbabwe! kuna watu humu ndani sidhani hata wanajua nani ni main trading partners wetu! EU is among the main trading partner wetu, EU wakituwekea trade sanctions na US anafuata.
Ss walitaka tujifungie wkt wa corona kwahyo tukubali eti kisa wananunua dhahabu yetu? Km itashindikana basi wacha wasije tu unajua wazungu ni mashetani sn.
 
Back
Top Bottom