Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nchi kuwa kwenye orodha ya wazalishaji wa kuu wa dhahabu, haimaanishi kuwa zinaongoza kuwa na hazina kubwa ya madini yaliyopo ardhini. Kwetu walikuwa wanasafirisha makontena mengi wakisema ni mchanga tuu, huku wakiyapeleka madini yetu kwao kuyachenjua na kujumuisha katika orodha ya madini wanayozalishwa huko.

katika makontena 277 yaliyozuiliwa (2017) kulikuwa na dhahabu zaidi ya 7.5kg (kwa kila kontena) na jumla ya thamani ya madini ilikadiriwa kuwa $119,198,318.68 (kwa makontena 277).

Walikuwa wanasafirisha makontena 300 kwa mwezi na hivyo nchi kupoteza kiasi cha takriban $100million kwa mwezi ambayo ni sawa na $1.2trilion kwa mwaka.

Katika miaka 17 waliokuwa wakichimba, tumepoteza kiasi cha $20 trillion. Kukupa picha ya wingi wa pesa tuliyoipoteza, GDP ya Marekani (2018) ilikuwa sawa na $20trillion. Utaitaje $20T visenti?

Siku zote ukisikia mbwa anabweka baada ya jiwe kutupwa gizani, ujue limempata. Ndiyo hizo kelele za hao wabunge wa Ulaya.
Asante sn Kaka kwa kumwelewesha huyu ajuza komora096 unajuwa tunaposema tz ni tajiri kuna watu mpk watz bado hawaelewi, unaambiwa baada ya jiwe kukataza kusafirisha mchanga aliyekuja ni rais wa Barrick na co mtu mwengine yeyote, so inatakiwa ujiulize hapo na co unabweka tu km unayetaka kujifungua mapacha.
 
Mpuuzi uyo achana nae,
anamatatizo
Kazi yake kukagua msg za watu na kutafuta vi picha afu ana post hapa.

Tatizo la kukosa cha kufanya badala aongelee maada anaingia kwenye personnel ya mtu...

Bahati mbaya katafuta kwangu akaishia kuja na umri bandia na ushauri wa kitoto.
Muache aendelee kutafuta watu kwenye socialmedia.

Jamaa anazingua sana amekua mshauri wa mambo ya familia sasa. Utazani yeye Mungu kupanga mtoto gani azaliwe
 
Naona povu la omo limejaa sasa.
Sisi tunapambania nchi wewe unaleta stori za mabeberu.

Kubeba boxes uswisi umeacha!?

Ndio nimeacha naunga juhudi za JPM hoye. Nazani tumuongezee miaka mingine 20 jamaa anafanya makubwa sana
 
Ndio nimeacha naunga juhudi za JPM hoye. Nazani tumuongezee miaka mingine 20 jamaa anafanya makubwa sana
Halafu nimeona kila sehemu unatumia neno "Nazani"
Siyo "Nazani" uwe unaandika "nadhani"

Neno hilo limetokana na nomino ya neno "dhani" maana yake ni:
"Hali ya kufikiri kitu bila hakika"
Kwa kingereza ni "assume"

Kwa maana hiyo nakutaka usiharibu lugha yetu "adhimu" ya kiswahili.
 
Makasiriko ya nini?

Kwani ni Tanzania ndio imeleta corona kunyaland!

Juzi nilikuambua uthibitishe kuwa Tanzania kuna corona,

Na mimi nitathibitisha kuwa Tanzania hakuna corona kwa kutumia vithibitisho hai lakini hadi leo hii hujathibitisha kumaanisha kuwa ulikuwa unabwabwaja tu ovyo.

Cc The best 007


View attachment 1630569

yaani huyu hata akiwa amerelux anakunja sura,muone hapo.

ndio maana hata kwenye michango humu huwa ni mtu wa kiwaka 24hrs.
 
Nyie
IMG_20201120_111040_043.JPG
IMG_20201120_111059_120.JPG
 
Halafu nimeona kila sehemu unatumia neno "Nazani"
Siyo "Nazani" uwe unaandika "nadhani"

Neno hilo limetokana na nomino ya neno "dhani" maana yake ni:
"Hali ya kufikiri kitu bila hakika"
Kwa kingereza ni "assume"

Kwa maana hiyo nakutaka usiharibu lugha yetu "adhimu" ya kiswahili.

Nazani uko sahihi mkuu
 
Makasiriko ya nini?

Kwani ni Tanzania ndio imeleta corona kunyaland!

Juzi nilikuambua uthibitishe kuwa Tanzania kuna corona,

Na mimi nitathibitisha kuwa Tanzania hakuna corona kwa kutumia vithibitisho hai lakini hadi leo hii hujathibitisha kumaanisha kuwa ulikuwa unabwabwaja tu ovyo.

Cc The best 007


View attachment 1630569
Watchman, ushamkimbiza huyo harudi Tena
 
Back
Top Bottom