Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unehehhe hio ndio sehemu munajenga kwan pinnacle mulituambiaje do u remb😂😂😂 expressway ingeku ni pesa zingoka kwa mfuko wa mkenya subutu munegesubiri miaka 200 kumbe ppp mchina anamilki miaka 27 huku akiwakamua ushuru wa 600ksh per car hapo sawa subiri muone dunia ilivo chungu 😂😂😂😂😂. Mchina kawashika pabaya sana
Na sasa kama ulikuwa unajua inajengwa na pesa ya mchina mbona unalikuwa unawashwa uonyeshwe billboard? Hiyo billboard bado haipo hadi saa hii lakini barabara inajengwa 😂
 
Vita ni vita Mura.
Wewe mjita hujui hayo.
Mkiwa vitani mnapambana askari akianza kwenda kinyume na amri tayari ameshakuwa adui ni kumtandika shaba tu.

Nishajua nia yako bana siwezi kuendelea kubishana na wewe tutaharibiana siku tu. Tafuta topic nyingine zangu uweke hapa.
 
Wewe jamaa utakua na matatizo sio bure. Ndio nilipata mtoto ndugu yangu asante sana.
Unamtunza huyo mtoto!?
Je, ulirudi kutoka huko uswizi na bado upo hapo mwanza!?

Halafu hujanijibu ulipata mtoto wa kike au wa kiume!?

Niliona mnaongelea masuala ya ushoga na wewe ukasema ni issue ya mtu binafsi.
Ndio maana ninakuuliza ulipata mtoto wa kike au wa kiume!?

Kama ulipata wa kike utakuwa salama.

Na kingine kwenda kwako ulaya kusikufanye mjuaji wa kujua kila kitu. Unatakiwa uheshimu watanzania na maamuzi yao.

Wewe unafurahiya kuunganishiwa umeme hapo kwenye mtaa wenu mwanza, hiyo siyo hapo tu nchi nzima umeme umeunganishwa.

So hatutaki mtuvurugie nchi yetu. Nyie endeleeni kubeba mabox huko ulaya sisi tunalima na kujenga nchi yetu.
 
Siasa haikwepeki, yani iko km bomu la nyuklia vile...
BBI km ina manufaa kw taifa kwnn tusiiangazie na wabadili vile vipengele ambavyo havifai..

Devolution imetufikisha mbali sana, watu miaka hamsini hawajui maendeleo n nn lakini sai yamefika mpka turkana

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Basi isiwe kama chakula basi hamuwezi kuanza siasa 2 yrs b4 alaf munategemea nchi iwe na maendeo hakuna nchi ya namna dunia hii
 
Na sasa kama ulikuwa unajua inajengwa na pesa ya mchina mbona unalikuwa unawashwa uonyeshwe billboard? Hiyo billboard bado haipo hadi saa hii lakini barabara inajengwa 😂
Tuoneshe sehemu munajenga nairobi 88 😂😂😂😂😂 hebu tuoneshe tena mamaee munaona watu vipofu humu toka 2016 munajenga sasa tuineshe hio sehemu mumejenga toka 2016 hapa😅😅😅😅
 
Tuoneshe sehemu munajenga nairobi 88 😂😂😂😂😂 hebu tuoneshe tena mamaee munaona watu vipofu humu toka 2016 munajenga sasa tuineshe hio sehemu mumejenga toka 2016 hapa😅😅😅😅
Na bado hajafunga account 🤣🤣
 
Nai Kama Nai
125569601_1780665695425565_5120591296297980617_n.jpg
125469147_198319121821886_7940340088247091949_n.jpg
125435504_166894431751339_8797606187461720525_n.jpg
EnBBln-XcAMghhR.jpeg
123186925_354379092488233_500786878033299363_n.jpg
124191778_1176106349450956_45046865317806081_n.jpg
 
Wewe jamaa utakua na matatizo sio bure. Ndio nilipata mtoto ndugu yangu asante sana.
Mpuuzi uyo achana nae,
anamatatizo
Kazi yake kukagua msg za watu na kutafuta vi picha afu ana post hapa.

Tatizo la kukosa cha kufanya badala aongelee maada anaingia kwenye personnel ya mtu...

Bahati mbaya katafuta kwangu akaishia kuja na umri bandia na ushauri wa kitoto.
Muache aendelee kutafuta watu kwenye socialmedia.
 
Unamtunza huyo mtoto!?
Je, ulirudi kutoka huko uswizi na bado upo hapo mwanza!?

Halafu hujanijibu ulipata mtoto wa kike au wa kiume!?

Niliona mnaongelea masuala ya ushoga na wewe ukasema ni issue ya mtu binafsi.
Ndio maana ninakuuliza ulipata mtoto wa kike au wa kiume!?

Kama ulipata wa kike utakuwa salama.

Na kingine kwenda kwako ulaya kusikufanye mjuaji wa kujua kila kitu. Unatakiwa uheshimu watanzania na maamuzi yao.

Wewe unafurahiya kuunganishiwa umeme hapo kwenye mtaa wenu mwanza, hiyo siyo hapo tu nchi nzima umeme umeunganishwa.

So hatutaki mtuvurugie nchi yetu. Nyie endeleeni kubeba mabox huko ulaya sisi tunalima na kujenga nchi yetu.

Nazani suala la mtoto ungemuuliza mama yako ambaye ndie nilizaa nae. Huna picha zangu uweke ili niweke za mama yako akiwa uchi?
 
Mpuuzi uyo achana nae,
anamatatizo
Kazi yake kukagua msg za watu na kutafuta vi picha afu ana post hapa.

Tatizo la kukosa cha kufanya badala aongelee maada anaingia kwenye personnel ya mtu...

Bahati mbaya katafuta kwangu akaishia kuja na umri bandia na ushauri wa kitoto.
Muache aendelee kutafuta watu kwenye socialmedia.
Meseji umeipata kisawa sawa.
 
Nazani suala la mtoto ungemuuliza mama yako ambaye ndie nilizaa nae. Huna picha zangu uweke ili niweke za mama yako akiwa uchi?
🤣 🤣 🤣 ukome kuitukana Tanzania.
Unazalisha wanawake halafu unakimbilia uswisi. Unatakiwa ulee mtoto bobu.
 
Back
Top Bottom