Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

simon ameshatuma au bado hujaiona hiyo taarifa

mkuu hayo ni majadiliano na sio uamuzi.. sioni jambo la maana hapo.. kama ni maelezo watajibiwa na serikali

afu eti wanalalamika kwann hatujafata masharti yao na WHO kuhusu corona .. yan wanataka tujifungie ndan ili tusiendelee na shughuli zetu za siku za uzalishaji?? 🤷🏾‍♂️
 
mkuu hayo ni majadiliano na sio uamuzi.. sioni jambo la maana hapo.. kama ni maelezo watajibiwa na serikali

afu eti wanalalamika kwann hatujafata masharti yao na WHO kuhusu corona .. yan wanataka tujifungie ndan ili tusiendelee na shughuli zetu za siku za uzalishaji?? [emoji2377]
Yaani hadi kujiendesha sisi wenyewe kuhusiana na corona wanatujadili tena.duh wanataka tuwaabudu sana ama
 
Nionyeshe lini kenya kulitokea vurugu before uchaguzi km nyie na hao waganda wanavyokinukisha hko..
Ukioata nitag
emoji23.png
Kenya kila uchaguzi lazima watu wanauliwa sio chini ya
Kenya hakuna siku jamaa walifanya vurugu kabla ya uchaguzi, watu huoiga kura kw amani sana..
Ila baada ya uchaguzi mnachinjana" in hudreds"
That is very Ok for you to Kill each other after election so Long as before election it was peaceful?
 
Yale aliyokuwa anasema Geza Ulole yameshaanza kutimia.economic sanction imeshaanza kutoka EU.kuna watu walikuwa wanambeza sana.ila matokeo ya hii economic sanction tutaumia sisi wananchi na sio viongozi.itakuja kuwa kama ya Zimbabwe mtu unaenda na furushi la pesa sokoniView attachment 1630024
Hivi ni vitu JPM hajui madaraka yamemuingia kichwani! Ngoja dhahabu yetu na watalii kutoka nchi za magharibi wapigwe marufuku kuja tuone tutatoka vipi!
 
Matusi hayana maana kwa mtu aliyeelimika
Hawataki kuambiwa ukweli wa lijalo! Hii maneno inatupeleka Zimbabwe! kuna watu humu ndani sidhani hata wanajua nani ni main trading partners wetu! EU is among the main trading partner wetu, EU wakituwekea trade sanctions na US anafuata.
 
Tunatishana tishana tu hapa walete hzo sanction bhn, mbn hawapeleki sanction America na madudu yametokea dunia nzima imeona? Mbn America hakuna democracy na dunia nzima inajua na hawapeleki sanction, Africa tukiendelea kuwasujudia Hawa wasenge tutaendelea kudumaa kila siku, mbn wameweka sanction zao kule Zimbabwe na maisha yanaendelea tu? Waweke hzo sanction zao wasenge hawa wanataka kutupangia maisha wkt this is a sovereign country.
Some times nashangaa sana hawa wazungu. Hivi kati ya Rwanda na Tanzania ni wapi hakuna demokrasia? Rwanda pamoja na kutawaliwa kwa mkono wa chuma wa Kagame na kuwaminya wapinzani kwa miaka zaidi ya 20 wazungu wanaona yanayofanyika Rwanda ni demokrasia. It is really amazing, ninajua hakuna watu wanafiki hapa duniani kama wazungu hasa maslahi yao katika nchi za afrika na arabuni yanapokuwa yameguswa. Watatumia kisingizio chochote hata kama ni cha kijanga kabisa ili tu wapate nafasi ya kumwadhibu anayetishia maslahi yao ya kinyonyaji.

Ndio maana mwalimu Nyerere sometimes pamoja na nchi kuwa changa kiuchumi alikuwa very bold kwa mambo ya kijinga yaliyokuwa yanataka kufanywa na wazungu hapa nchini na wakati mwingine kufunga uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na hayo mataifa ya ulaya yaliyokuwa yanataka kutuamulia ni kitu gani cha kufanya mfano Uingereza na ujerumani. (rejea historia hiyo)
 
Some times nashangaa sana hawa wazungu. Hivi kati ya Rwanda na Tanzania ni wapi hakuna demokrasia? Rwanda pamoja na kutawaliwa kwa mkono wa chuma wa Kagame na kuwaminya wapinzani kwa miaka zaidi ya 20 wazungu wanaona yanayofanyika Rwanda ni demokrasia. It is really amazing, ninajua hakuna watu wanafiki hapa duniani kama wazungu hasa maslahi yao katika nchi za afrika na arabuni yanapokuwa yameguswa. Watatumia kisingizio chochote hata kama ni cha kijanga kabisa ili tu wapate nafasi ya kumwadhibu anayetishia maslahi yao ya kinyonyaji.

Ndio maana mwalimu Nyerere sometimes pamoja na nchi kuwa changa kiuchumi alikuwa very bold kwa mambo ya kijinga yaliyokuwa yanataka kufanywa na wazungu hapa nchini na wakati mwingine kufunga uhusiano wa kibalozi kati ya Tanzania na hayo mataifa ya ulaya yaliyokuwa yanataka kutuamulia ni kitu gani cha kufanya mfano Uingereza na ujerumani. (rejea historia hiyo)
Hawa this time tutakula nao sahani moja, hope 2025 watazoea na kuelewea sisi sio wale wa Mr Ndio
 
Back
Top Bottom