ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Is that progress ndivo munavojidanganya sasa😂😂😂😂😂Glad to see progress on the ground.
Is that progress ndivo munavojidanganya sasa😂😂😂😂😂Glad to see progress on the ground.
Scavenger una matatizo mengi zaidi ya niliyokurekebisha, tatizo la udumavu wa akili nchini Kenya ni kubwa sana kutokana na uhaba wa lishe, so sikushangai! Ni tatizo la kimfumo, wote ninyi wakenya ni vichaa watupu 😢😥😥🤔😅Sawa buda. Sasa mbona umrekebishe ukitumia kiingereza na lugha yenyewe huijui?
CC: Mr Lamu port will do transhipment to Dar port! Tony254!
VSWaendelee kusubiri miaka 100😂😂👇View attachment 1628812View attachment 1628813View attachment 1628814View attachment 1628815
ni kisanga......deal inaelekea kuwa done....Mambo ni fire[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]kwakweli Tz watuache tu mana tunajambo letu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1628634View attachment 1628635View attachment 1628636View attachment 1628639View attachment 1628640
Kwa haya yanayofanyika tz itakapofika 2025 inshaalah kama gdp haijagonga $200bl naondoka jf.
Wamerahisishiwa kwasabu wamarekani ni maskini eti.Nani kakwambia marekani internet ni bure, we jamaa bana..
Sema wamerahisishiwaa huduma kule wala hakuna mambo ya sijui vocha mara eti sijui kujiunga bando..
Bt mwisho wa siku you have to pay your bills..
Jaribu hata kutafuta visa utoke bongo uende kw trump uone vile mambo yanaenda jamani..
Ukurupukaji unazidi kukudumaza akili
Hii misukule a.k.a machokoraa unaipatia sana mkuu, hahahahahaaaaScavenger una matatizo mengi zaidi ya niliyokurekebisha, tatizo la udumavu wa akili nchini Kenya ni kubwa sana kutokana na uhaba wa lishe, so sikushangai! Ni tatizo la kimfumo, wote ninyi wakenya ni vichaa watupu [emoji22][emoji26][emoji26][emoji848][emoji28]
Gdp ifike $200 billion kutoka $63 billion in 5 years? That is a crazy statement. Itabidi mkuwe kwa zaidi ya 20% kila mwaka. Hamtafikisha hata 10% p.a growth rate.Kwa haya yanayofanyika tz itakapofika 2025 inshaalah km gdp haijagonga $200bl naondoka jf.
We tulia hivyo hivyo utaona, halafu nani alokwambia GDP yetu ni 63?Gdp ifike $200 billion kutoka $63 billion in 5 years? That is a crazy statement. Itabidi mkuwe kwa zaidi ya 20% kila mwaka. Hamtafikisha hata 10% p.a growth rate.
Huyo nimemblock. Sitawahi kuzungumza naye. Amenikosea heshima. Yeye ndiye ameanza matusi mimi nimemalizia tu. Watanzania mnadhani ninyi ndio mnajua matusi na sisi hatujui? Au pengine aliona mimi ni mpole akadhani upole wangu ni unyonge? Kuna wimbo wa reggae unasema " don't confuse my kindness for weakness." Yaani usione simba kanyeshewa ukadhani paka. Yeye ndio alianza na matusi na madharau mimi nikamalizia tu. Sio kawaida yangu kuanzisha ugomvi lakini ni kawaida yangu kumaliza ugomvi. Sasa hio ng'ombe sitawahi kuiona tena kwa timeline yangu. Hilo jina Natonjr sitawahi kuliona tena.Sasa Tony mbn matusi makali hv daaahhh aisee hahahahaaaa, sindano imezd aloo.
Kila bodi linaloheshimika ikiwemo serikali yenu, Imf, WB na UN zimesema Gdp yenu ipo between $60 billion - $70 billion. Hakuna bodi yoyote iliyosema kwamba Gdp yenu imepita $70 billionWe tulia hvyo hvyo utaona, alafu nani alokwambia GDP yetu ni 63?
Wacha uwenge wewe, unajua mtu anayelipwa $10k per month USA ni mtu wa aina gani..What Naton Jr was telling you, wasn't the actual price. Expensive is relative, a monthly bill could be $100 but if you get paid $10k a month (a ratio of 1 to 100), it's relatively cheaper.
Hata mmoja kw comments hakuna alyejitokezaTetesi na watu wanalalamika [emoji23][emoji23][emoji23]