Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha yaani wewe mediocre wa mombasani, saivi nimekupandisha daraja sio shenanigan tena, ni mediocre wa mombasani

Wewe unabisha wakati hujawahi kutoka nje ya Lamu, unajua nini sasa we mlupo wa Lamu?
Huyo huyo mlupo unayembishia hajatoka nje ya mombasa ndio anakuumbua siku zote
Njoo na uongo mwngine nikuumbue
 
jamaa hana akili kabisa huyo hata hajui geographia ya miji yao......au anakitoa akili kizembe
Nairobi ni kauchochoro kadogo sana, bila usaidizi wa counties za pembezoni Mwanza pekee inatosha kuiadhibu Nairobi bila majibu

Sasa sijui wanafikiri hapa ni nairaland kule walipozoea kuwabeba wa nigeria kwenye tenga, wanafikiri na wa Tanzania tupo hivyo, 😅
 
Huyo huyo mlupo unayembishia hajatoka nje ya mombasa ndio anakuumbua siku zote
Njoo na uongo mwngine nikuumbue
Nipo vizuri nimejipanga kuwaweka sawa, usifikiri kama una ubavu wa kuniletea utopolo wako ukaondoka unquestionable, nina piga spana zangu heavy weights mpaka wenzio wananiblock, sitaki ujinga mimi 🤔
 
Lamu port berth mbili zilizobaki zipo 80% complete. Moja ishakamilika. Hizo mbili zitakamilika mwaka ujao. Lakini hatujui crane zitachukua muda upi kufika Kenya. Sina uhakika kama order ya cranes imeshatokewa.
Hahaha si ndo maana nasema 2022!
 
Nipo vizuri nimejipanga kuwaweka sawa, usifikiri kama una ubavu wa kuniletea utopolo wako ukaondoka unquestionable, nina piga spana zangu heavy weights mpaka wenzio wananiblock, sitaki ujinga mimi
Labda spana za matusi
 
Nairobi ni kauchochoro kadogo sana, bila usaidizi wa counties za pembezoni Mwanza pekee inatosha kuiadhibu Nairobi bila majibu

Sasa sijui wanafikiri hapa ni nairaland kule walipozoea kuwabeba wa nigeria kwenye tenga, wanafikiri na wa Tanzania tupo hivyo,
Kwhyo hutaki cities ziwe na metros
 
Wewe huelewi. Post-panamax ni meli kubwa na inaweza kubeba kutoka China mizigo inayokwenda Afrika na Europa kwa safari moja. Kisha inatia nanga Lamu na kupakua mizigo ya (Dar port, Mombasa port na Djibouti port) kisha inaelekea bara la Europa. Halingojei meli ndogo ifike Dar na kurudi na mizigo kama ulivyosema. Hakuna mahali nimesema kuwa meli ndogo itapekeka mizigo Dar kisha irudi na mizigo Lamu. Post-panamax haina muda wa kungoja meli ndogo iende Dar na kurudi na mizigo. Post-panamax haichelewi hapo Lamu port, inamwaga mizigo na kuondoka.
Tony, you are too smart than this bhana. Yani meli ishushe na kuondoka bila kuchukua mzigo mpya? Na doubt kama ulishaingia hata bandarini na kuona tu vile wana operate. Meli za magari tu ndio zina shusha na kuondoka bila kusubiria mzigo wa kuondokea. Na ndio maana ni ghali sana kusafirisha magari kuliko kontena.
 
Back
Top Bottom