Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wamerahisishiwa kwasabu wamarekani ni maskini eti.
We unajua maana ya kurahisishiwa kwel, hivi hiki kiswahili mnachojisifia nacho mbna kinakua kigumu tena kwenu..

Wale sio kwamba eti ni maskini, wengi wao wana uwezo wa kulipa bills thats y kila kitu wanalipia per month au zaidi tokea kw mawasiliano hadi internet
 
CC: Mr Lamu port will do transhipment to Dar port! Tony254!
Sijakataa kuwa nyie mnapanua port yenu. Lakini nina swali. Kenya ikisign deal na Maersk kuwa Maersk itakuwa inabeba mizigo yake kutoka Uchina kwa meli kubwa ya post-panamax na kutia nanga Lamu port. Kisha maersk haitalipishwa chochote kufanya transhipment hapo Lamu port. Meli kubwa ikitia nanga Lamu inapakua mizigo inayokwenda Djibouti port, Mombasa port na Dar port kisha meli inaendelea na safari yake kushusha mizigo barani Europa. Kumbuka geography ya dunia inafavour Lamu maana Lamu ipo karibu na hizo port tatu. Ni kweli kuwa Maersk ikishapakua mizigo Lamu pia inaweza kuja hadi Dar kupakua mizigo ya Dar kwa kutumia post-panamax ila that will be costly. Meli kubwa kama hio inatumia mafuta mengi per kilometre kushinda meli ndogo, halafu pia itapoteza muda mwingi sana kutia nanga katika ports mbili badala ya kutia nanga katika port moja. Sasa kama wewe ungekuwa business manager wa Maersk, ungeamua kuleta post-panamax ipakue Kenya kisha ipakue Tanzania au ungeileta ipakue Kenya tu kisha iendelee na safari yake barani Europa? Ni swali tu.
Halafu swali lingine, Maersk ikiamua kufanya transhipment Lamu port (maana imeshatia saini na KPA), halafu itumie meli ndogo kuleta mizigo Dar port, Rais wenu Magufuli ataiban Maersk company? Atailazimisha kuleta meli kubwa ya post-panamax hadi Dar? Hii yote eti kwa sababu hataki trans-shipment ifanyike Kenya? Halafu akiban Maersk ndio itakuwaje? Au akiilazimisha Maersk walete post-panamax Dar, Maersk itakubali hata kama it is less economical kuleta meli kubwa hadi Dar? Haya ni maswali tu sio lazima uyajibu. Magufuli ni mtu anayefanya vitu kwa fujo kwa hivyo sitashangaa akithreaten Maersk ifanye anavyotaka yeye la sivyo isikanyage Tanzania. Maersk nayo hatujui itareact vipi kwa vitisho hivyo.
 
Huyo nimemblock. Sitawahi kuzungumza naye. Amenikosea heshima. Yeye ndiye ameanza matusi mimi nimemalizia tu. Watanzania mnadhani ninyi ndio mnajua matusi na sisi hatujui? Au pengine aliona mimi ni mpole akadhani upole wangu ni unyonge? Kuna wimbo wa reggae unasema " don't confuse my kindness for weakness." Yaani usione simba kanyeshewa ukadhani paka. Yeye ndio alianza na matusi na madharau mimi nikamalizia tu. Sio kawaida yangu kuanzisha ugomvi lakini ni kawaida yangu kumaliza ugomvi. Sasa hio ng'ombe sitawahi kuiona tena kwa timeline yangu. Hilo jina Natonjr sitawahi kuliona tena.
We scavenger mbona unaongea sana kama demu aliezulumiwa ujira wake 😅😅😅

Unalalama mno mpaka unatia huruma, sasa kwani hata usipoona post zangu unafikiri ndio sitaingia JF ama? Wewe mbwiga umenikuta nipo JF long time kitambo, umekuja hapa unanuka kama ng'onda wakulungwa tunakucheck tu

Sasa iweje leo uwe relevant kwangu wakati sioni impact yoyote zaidi ya kutushobokea tu watanzania? Nawamiss wakina kadoda1 and the likes lakini sio wewe kifaduro ulioparazwa na udumavu wa utapiamlo dooh ila lishe ni ishu kunako Kunyaland 😥😢😆
 
Wacha uwenge wewe, unajua mtu anayelipwa $10k per month USA ni mtu wa aina gani..
Ukurupukaji km kawaida yenu
Hahahaha yaani wewe mediocre wa mombasani, saivi nimekupandisha daraja sio shenanigan tena, ni mediocre wa mombasani

Wewe unabisha wakati hujawahi kutoka nje ya Lamu, unajua nini sasa we mlupo wa Lamu? 😅😅
 
Sijakataa kuwa nyie mnapanua port yenu. Lakini nina swali. Kenya ikisign deal na Maersk kuwa Maersk itakuwa inabeba mizigo yake kutoka Uchina kwa meli kubwa ya post-panamax na kutia nanga Lamu port. Kisha maersk haitalipishwa chochote kufanya transhipment hapo Lamu port. Meli kubwa ikitia nanga Lamu inapakua mizigo inayokwenda Djibouti port, Mombasa port na Dar port kisha meli inaendelea na safari yake kushusha mizigo barani Europa. Kumbuka geography ya dunia inafavour Lamu maana Lamu ipo karibu na hizo port tatu. Ni kweli kuwa Maersk ikishapakua mizigo Lamu pia inaweza kuja hadi Dar kupakua mizigo ya Dar kwa kutumia post-panamax ila that will be costly. Meli kubwa kama hio inatumia mafuta mengi per kilometre kushinda meli ndogo, halafu pia itapoteza muda mwingi sana kutia nanga katika ports mbili badala ya kutia nanga katika port moja. Sasa kama wewe ungekuwa business manager wa Maersk, ungeamua kuleta post-panamax ipakue Kenya kisha ipakue Tanzania au ungeileta ipakue Kenya tu kisha iendelee na safari yake barani Europa? Ni swali tu.
Halafu swali lingine, Maersk ikiamua kufanya transhipment Lamu port (maana imeshatia saini na KPA), halafu itumie meli ndogo kuleta mizigo Dar port, Rais wenu Magufuli ataiban Maersk company? Atailazimisha kuleta meli kubwa ya post-panamax hadi Dar? Hii yote eti kwa sababu hataki trans-shipment ifanyike Kenya? Halafu akiban Maersk ndio itakuwaje? Au akiilazimisha Maersk walete post-panamax Dar, Maersk itakubali hata kama it is less economical kuleta meli kubwa hadi Dar? Haya ni maswali tu sio lazima uyajibu. Magufuli ni mtu anayefanya vitu kwa fujo kwa hivyo sitashangaa akithreaten Maersk ifanye anavyotaka yeye la sivyo isikanyage Tanzania. Maersk nayo hatujui itareact vipi kwa vitisho hivyo.
Sasa kama mnaingia mkataba na meli itie nanga lamu afu ifanye transshipment bila gharama hapa nyie mnapata vip faida au faida ni kupata sifa tu kwamba mnapokea meli kubwa na kufanya transshipment.
Maana lengo la bandari ni mapato na nyie mmewaambia wasilipe kitu. Kwaiyo mnatumia pesa kubwa kutafuta sifa tu?
 
Sijakataa kuwa nyie mnapanua port yenu. Lakini nina swali. Kenya ikisign deal na Maersk kuwa Maersk itakuwa inabeba mizigo yake kutoka Uchina kwa meli kubwa ya post-panamax na kutia nanga Lamu port. Kisha maersk haitalipishwa chochote kufanya transhipment hapo Lamu port. Meli kubwa ikitia nanga Lamu inapakua mizigo inayokwenda Djibouti port, Mombasa port na Dar port kisha meli inaendelea na safari yake kushusha mizigo barani Europa. Kumbuka geography ya dunia inafavour Lamu maana Lamu ipo karibu na hizo port tatu. Ni kweli kuwa Maersk ikishapakua mizigo Lamu pia inaweza kuja hadi Dar kupakua mizigo ya Dar kwa kutumia post-panamax ila that will be costly. Meli kubwa kama hio inatumia mafuta mengi per kilometre kushinda meli ndogo, halafu pia itapoteza muda mwingi sana kutia nanga katika ports mbili badala ya kutia nanga katika port moja. Sasa kama wewe ungekuwa business manager wa Maersk, ungeamua kuleta post-panamax ipakue Kenya kisha ipakue Tanzania au ungeileta ipakue Kenya tu kisha iendelee na safari yake barani Europa? Ni swali tu.
Halafu swali lingine, Maersk ikiamua kufanya transhipment Lamu port (maana imeshatia saini na KPA), halafu itumie meli ndogo kuleta mizigo Dar port, Rais wenu Magufuli ataiban Maersk company? Atailazimisha kuleta meli kubwa ya post-panamax hadi Dar? Hii yote eti kwa sababu hataki trans-shipment ifanyike Kenya? Halafu akiban Maersk ndio itakuwaje? Au akiilazimisha Maersk walete post-panamax Dar, Maersk itakubali hata kama it is less economical kuleta meli kubwa hadi Dar? Haya ni maswali tu sio lazima uyajibu. Magufuli ni mtu anayefanya vitu kwa fujo kwa hivyo sitashangaa akithreaten Maersk ifanye anavyotaka yeye la sivyo isikanyage Tanzania. Maersk nayo hatujui itareact vipi kwa vitisho hivyo.
Hatakama mtawachia wafanye shughuli zao bure apo lamu still watalazimika kuja Tz kama mzigo wakuja huku utakuwa mwingi , alafu mtakuwa mna mkomoa nani hasa kwa kumpa afanye shughuli zake bure ? Au Tz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maersk atawajibika tu kuleta mizigo dar kama wateja wake walivyopanga na gharama ukanda wote huu zitapungua.
Hatakama mtawachia wafanye shughuli zao bure apo lamu still watalazimika kuja Tz kama mzigo wakuja huku utakuwa mwingi , alafu mtakuwa mna mkomoa nani hasa kwa kumpa afanye shughuli zake bure ? Au Tz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wakenya wameona hii settlement ilivyo ya kisure na ni zaidi ya kilometres 30 kutoka CBD?

Nairobi, 30 kilometers from CBD upo Turkana, Tukiwaambia Dar ni jiji kubwa watuelewe

Halafu huwa wanasema Dar Hakuna miti kama Nairobi, Em wazoom kidogo hapo wajionee walivyo mediocre

EnCklSBWEAMdd7r.jpg
 
Hatakama mtawachia wafanye shughuli zao bure apo lamu still watalazimika kuja Tz kama mzigo wakuja huku utakuwa mwingi , alafu mtakuwa mna mkomoa nani hasa kwa kumpa afanye shughuli zake bure ? Au Tz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatumkomoi yeyote. Tunataka Lamu port iwe trans-shipment hub hapa Afrika Mashariki.
 
Sijakataa kuwa nyie mnapanua port yenu. Lakini nina swali. Kenya ikisign deal na Maersk kuwa Maersk itakuwa inabeba mizigo yake kutoka Uchina kwa meli kubwa ya post-panamax na kutia nanga Lamu port. Kisha maersk haitalipishwa chochote kufanya transhipment hapo Lamu port. Meli kubwa ikitia nanga Lamu inapakua mizigo inayokwenda Djibouti port, Mombasa port na Dar port kisha meli inaendelea na safari yake kushusha mizigo barani Europa. Kumbuka geography ya dunia inafavour Lamu maana Lamu ipo karibu na hizo port tatu. Ni kweli kuwa Maersk ikishapakua mizigo Lamu pia inaweza kuja hadi Dar kupakua mizigo ya Dar kwa kutumia post-panamax ila that will be costly. Meli kubwa kama hio inatumia mafuta mengi per kilometre kushinda meli ndogo, halafu pia itapoteza muda mwingi sana kutia nanga katika ports mbili badala ya kutia nanga katika port moja. Sasa kama wewe ungekuwa business manager wa Maersk, ungeamua kuleta post-panamax ipakue Kenya kisha ipakue Tanzania au ungeileta ipakue Kenya tu kisha iendelee na safari yake barani Europa? Ni swali tu.
Halafu swali lingine, Maersk ikiamua kufanya transhipment Lamu port (maana imeshatia saini na KPA), halafu itumie meli ndogo kuleta mizigo Dar port, Rais wenu Magufuli ataiban Maersk company? Atailazimisha kuleta meli kubwa ya post-panamax hadi Dar? Hii yote eti kwa sababu hataki trans-shipment ifanyike Kenya? Halafu akiban Maersk ndio itakuwaje? Au akiilazimisha Maersk walete post-panamax Dar, Maersk itakubali hata kama it is less economical kuleta meli kubwa hadi Dar? Haya ni maswali tu sio lazima uyajibu. Magufuli ni mtu anayefanya vitu kwa fujo kwa hivyo sitashangaa akithreaten Maersk ifanye anavyotaka yeye la sivyo isikanyage Tanzania. Maersk nayo hatujui itareact vipi kwa vitisho hivyo.
Ikiamua Ikiamua kwani Maersk hawapo Tanzania? Halafu una ujinga wa kudhani Maersk ina control over China's cargo!
10-Largest-Container-Shipping-Companies-in-the-World-1-768x1920.png
 
Maersk bado wataleta mizigo Dar lakini kwa kutumia meli ndogo.
Meli kubwa zinaingia Dar port as u speak!

 
Wapo TZ na wataleta mizigo Dar kwa kutumia meli ndogo. Meli kubwa inafika Lamu na kisha inaelekea bara la Europa. Halitafika Dar.
Cargo volume kati ya Dar port na Lamu port iko vipi? Kwamba hiyo post panamax baada ya ku berth hapo Lamu inaweza kupata cargo ya kutosha ya kuondokea? Hizo meli ndogo zitakazokuja Dar ndio zipakie mizigo kutoka Dar kuileta Lamu then wa offload kisha wapakie kwenye hiyo Panamax tena?

Unajua kazi za operations and management, haswa kwenye logistics na shipping in general? Ukiwa business manager wa maersk ndio utawashauri hivyo?
 
Hivi wakenya wameona hii settlement ilivyo ya kisure na ni zaidi ya kilometres 30 kutoka CBD?

Nairobi, 30 kilometers from CBD upo Turkana, Tukiwaambia Dar ni jiji kubwa watuelewe

Halafu huwa wanasema Dar Hakuna miti kama Nairobi, Em wazoom kidogo hapo wajionee walivyo mediocre

View attachment 1628933
Here is what 30km from Nairobi looks like son.

Greenpark

BDSHK-GreenPark1810.jpg


Greatwall Gardens

a.jpg
hq720.jpg




Kitengela
DJI_0528-copy-870x420.jpg


Kiserian
Amazing-Drone-Views-of-Fastest-Growing-Nairobi39s-Metro-Areas-of-Rongai-to-Kiserian-Kajiado-Co...jpg



Niendelee? Usidhani Nairobi ni Dar. That metropolis is huge and developed. And remember Nairobi spreads to all Directions from the city center while Dar can't spread towards the ocean.
 
Back
Top Bottom