Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I hope you are not among the 28 million poor souls in Tanganyika ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
katika wakenya millions 44 million 25 ni mafukara wa kutupwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Screenshot_20200813-071858~2.png
 
Nyie [emoji23][emoji23][emoji23]

As one of their campaign pledges, President Kenyatta and his deputy promised to construct five state-of-the-art stadiums in Kisumu, Mombasa, Garissa, Nakuru and Eldoret.

The government says it will not be able to construct the five state-of-the-art stadiums which President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto promised in 2013.

 
Kwann usijihurumie ww kwanza unaehangaika na corona ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ so kama hakuna corona tuseme ipo tu kisa kenya ipo au???
Na sisi pia mnataka tudanganywe kisa mndanganywa?? Corona ipo duniani kote. Ingekuwa iko tu Kenya pekee yake hapo ndo kungekuwa na tatizo
 
Official lapset website says this
View attachment 1628014
Its a loan ..ulitaka waandike nini sasa..

Hii port ni yenyu... Na fedha inayojenga ninyenyu pia..ila Mtakopeshwa mostly na wachina...

Wachina wamefanya hiyo sana ..hasa kwenye majengo Private sector in Tanzania ikiwemo Avic Town.

Of course in Chinese companies building the port, It's their money financing and it's you Kenyas Paying the Loans plus interest.

Hiyo Ujinga weka Korogocho .. Kwa Mzee Magufuli walifungishwa virago.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naweza kukuthibitishia kuwa Tanzania hakuna corona,

Je wewe unaweza kuthibitisha kuwa Magu anatudanganya?
Wewe huoni mkidanganywa mnapoambiwa Tanzania haina corona ila mataifa yote duniani ipo? Is Tanzania an island or has it cut links with the rest of the world? Kweli common sense is not common to everyone
 
Wewe huoni mkidanganywa mnapoambiwa Tanzania haina corona ila mataifa yote duniani ipo? Is Tanzania an island or has it cut links with the rest of the world? Kweli common sense is not common to everyone
Sijakuuliza mambo ya mataifa yote duniani...hapa nimekuambia uthibitishe kuwa Magu anatudanganya kuhusu corona,

Ukishindwa mimi nitathibitisha kuwa Tanzania hakuna corona.
 
So Tanzania imeweza kupambana na corona kushinda nchi zote duniani!! Hadi zile zenye advanced healthcare systems. Hii Tanzania ambayo corona ilipatikana hadi kwenye mbuzi na papai?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We are the choosen one, if its pain you swallow the bitter pills[emoji381][emoji381], not every thing need science....a poor kunyan like you will never understand this.
 
Wewe huoni mkidanganywa mnapoambiwa Tanzania haina corona ila mataifa yote duniani ipo? Is Tanzania an island or has it cut links with the rest of the world? Kweli common sense is not common to everyone
I have Kenyan friends who went ballistic on me.. because I just went back in the mix grinding like everybody else.. no masks no "satinaizas".. ๐Ÿ™‚ Until they made it Home.. "To the cradle of humanity"

Two days in.. washasahau Barakoa.. nawakuta maandazi road wananunua chapati tu hahahaha... Corona Wakenya wanatekenyana sharubu na mpaka muda huu Sirikali yao imewaweza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
I have Kenyan friends who went ballistic on me.. because I just went back in the mix grinding like everybody else.. no masks no "satinaizas".. ๐Ÿ™‚ Until they made it Home.. "To the cradle of humanity"

Two days in.. washasahau Barakoa.. nawakuta maandazi road wananunua chapati tu hahahaha... Corona Wakenya wanatekenyana sharubu na mpaka muda huu Sirikali yao imewaweza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Taking precautions all boils down to an individual. You have all the information there is you need to know about this disease and it's upon you now to take care of yourself. Being careless just because your neighbor or friend is is an epitome of negligence.

Personally, I have friends and relatives who have tested positive to this disease so someone can't tell me that there's no corona in our midst.

If by telling us the truth ni kutuweza then let it be. After all, we are not the only people tumewezwa in the world.
Americans wamewezwa
Chinese wamewezwa
British wamewezwa
Waganda wamewezwa
Etc etc
 
Its a loan ..ulitaka waandike nini sasa..

Hii port ni yenyu... Na fedha inayojenga ninyenyu pia..ila Mtakopeshwa mostly na wachina...

Wachina wamefanya hiyo sana ..hasa kwenye majengo Private sector in Tanzania ikiwemo Avic Town.

Of course in Chinese companies building the port, It's their money financing and it's you Kenyas Paying the Loans plus interest.

Hiyo Ujinga weka Korogocho .. Kwa Mzee Magufuli walifungishwa virago.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
As long as unaamini hivyo kwa akili yako ndogo ya kibongo mbona niwe na shida? It won't change anything
 
We are the choosen one, if its pain you swallow the bitter pills[emoji381][emoji381], not every thing need science....a poor kunyan like you will never understand this.
Of course everything doesn't need science. No wonder you ended up finding traces of COVID-19 virus in goat and pawpaw samples
 
Hawa jamaa hawawezi chochote,unakuta wanatupja picha za maghorofa wanayoishi wazungu,Ila ya wakikuyu wanaficha.corona kwao ni Kama samaki na maji.
Maghorofa wanayoishi wazungu ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Unataka waishi kwenye zile dream houses zenu
 
Back
Top Bottom