Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jengeni hiyo nairobi eneo kubwa bado pori.
Unataka Nairobi pafanane hivi?
😂 😂
Screenshot_20190928-132128.png
Screenshot_20200320-170923.png
Screenshot_20190801-183746.png
Screenshot_20190801-151402.png


Afadhali pori mara mia
 
Hii report haina ukweli, na ndio maana baada ya muda mchache waliifuta hiyo post
Sasa World Bank ni vichaa wapost kitu mitandaoni only to realise it's false a few hours later and bring it down? Dhibitisha madai yako kwamba walifuta hiyo post. Mimi I can prove to you that the post still exists in World Bank official Twitter account
 
Mimi nimeongelea kitu kimoja kuhusu huu mradi from the word go. Na ninachosema ni kwamba hamna pesa ya kujenga bagamoyo port.

Hizi za kusema ni white elephant ni vilaza wenzako walikuja nazo hapa kama visingizio as you always do. Hakuna mahali mimi nimesema it's a white elephant.

Kulipa compensation sio tatizo. Ungejiuliza hiyo pesa ya kulipa compensation ilikuwa ni percentage ngapi ya cost yote ya mradi. Pengine it's just less than 5%, you never know. Mlifanya haya yote in the hope that mchina angeendeleza mradi coz you didn't and still don't have the funds to finance this project. Hizi za kusema it's a white elephant ni visingizio tu za kijinga
Mimi nimeongelea kitu kimoja kuhusu huu mradi from the word go. Na ninachosema ni kwamba hamna pesa ya kujenga bagamoyo port.

Hizi za kusema ni white elephant ni vilaza wenzako walikuja nazo hapa kama visingizio as you always do. Hakuna mahali mimi nimesema it's a white elephant.

Kulipa compensation sio tatizo. Ungejiuliza hiyo pesa ya kulipa compensation ilikuwa ni percentage ngapi ya cost yote ya mradi. Pengine it's just less than 5%, you never know. Mlifanya haya yote in the hope that mchina angeendeleza mradi coz you didn't and still don't have the funds to finance this project. Hizi za kusema it's a white elephant ni visingizio tu za kijinga
Bagamoyo port was Chinese proposal to Tanzania, wewe akili zako zipo matakoni sababu huna hata idea ya unachoongea

Mchina alete proposal akitegemea pesa za Tanzania ambayo haikua hata na idea of the shit? 🚮🚮🚮
 
Assuming what you are saying here is true, kati ya 23 million na 28 million gani nyingi?

Secondly, if a third of Kenyans is 23 million people, does it mean the total population of Kenya is 69 million people? Since when? Oolisikia wapi?

Nilikuambia kabla ya kupost vitu hapa ndani, do a little bit of background checks to ascertain the aunthecity and truth of what you are posting. Ungefanya tu hesabu za haraka ugundue hiyo information umeleta hapa haina ukweli wowote. But since you are a bongolala, we understand
 
Stop shooting yourself in the leg. Bagamoyo kuwa karibu na bandari ya Dar isiwe kisingizio. Like any other business, good marketing and proper management would have made Bagamoyo prosper even if it's close to an existing port. How far is Lamu port from the port of Mombasa? Has that stopped Kenya from building Lamu port? The answer is no! Stop looking for silly excuses.
Hahahaha eti Lamu port? Hiyo takataka inajengwa kwa miaka 20 na haitafika popote pale mpaka dunia inaingia kaburini, nakuapia
 
Back
Top Bottom