Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aibu kwa inchi ambayo inaongozwa na dictator,,no freedom of media at all,we know you guys, crazy country
Nenda kalilile ndani na corona ndio hatuna sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aibu kwa inchi ambayo inaongozwa na dictator,,no freedom of media at all,we know you guys, crazy country
Ivi nyie mnauhuru gani hasa?...ikiwa mpka wanasiasa wananyukwa...
JamiiForums-259387667.jpg
 
Yaani kabla hujaleta hiyo link naifahamu inazungumzia nini,
Jifunze kutofautisha physical address ya Google my business info na Google map unayotaka kutuaminisha hapa,
Kitu hujui halafu bado unabishana ili usionekane hujui,
Edit tuone kama hutaki baki na ujinga wako Huko.
Kwanini hutaki kuedit Google map then uondoe hizo slums za Nairobi?
Nimeandika Google my business info kwa sababu ndio huko huko kwenye physical address za Google.
I have already edited. Now what for one year for updates to take place
Usidhani tumesahau [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tengua na hii habari basi😂😂👇👇


Wewe unanipa tweet mimi nakupa habari kutoka kwa website ya lapset. So who knows better between Nation and lapset regarding lamu port? Halafu hiyo loan wanamention hapo ni gani na ilipewa na nani?
 
Huoni mnavyodanganywa? Eti dunia nzima Tanzania, a Third World country with one of the worst healthcare systems ndio ikose corona! This is despite the fact that mipaka zenu ziko wazi. Kumdanganya mtanzania ni kitu rahisi sana
So hutaki au unaskia wivu tu 😂😂😂 kenyatta kawaingiza chaka sasa munatafutana nimeskia lockdown inafuata muda sio mrefu 😀😀😀😀
 
Wewe unanipa tweet mimi nakupa habari kutoka kwa website ya lapset. So who knows better between Nation and lapset regarding lamu port? Halafu hiyo loan wanamention hapo ni gani na ilipewa na nani?
So leo huijui nation africa 😂😂👇👇👇
100738FA-DEBD-4787-82FE-3B52756B0E12.jpeg
 
I'm suprised you do not see a problem with that picture 😱 😱 🙄 . Hapo ndio dictator amewafikisha!!
Exactly my point. They can't see how much they are being lied to. Lakini kwa jinsi walivyo wajinga wanasherekea
 
So hutaki au unaskia wivu tu 😂😂😂 kenyatta kawaingiza chaka sasa munatafutana nimeskia lockdown inafuata muda sio mrefu 😀😀😀😀
Sisikii wivu ila kusema kweli nawahurumia kwa jinsi akili zenu ni mgando. This level of lies ain't good at all
 
Huoni mnavyodanganywa? Eti dunia nzima Tanzania, a Third World country with one of the worst healthcare systems ndio ikose corona! This is despite the fact that mipaka zenu ziko wazi. Kumdanganya mtanzania ni kitu rahisi sana
Kwaiyo sikuizi ugonjwa wa corona umekuwa ukimwi sio? Mbona mlijifanya kuiga kufungua shule kimewakuta nini mpaka mkafunga tena ? Ndio ujue Tz is a blessed nation
 
Pole kwa maumivu kijana wa tandale. I hope you are not among the 28 million extremely poor souls in Tanzania 😂
Am not feed from bones and deadmeat, hopeless pauper
images - 2020-09-14T111646.581.jpeg
 

Attachments

  • images - 2020-09-14T111646.581.jpeg
    images - 2020-09-14T111646.581.jpeg
    37.5 KB · Views: 22
Back
Top Bottom