alafu by the way ukifuatilizia vizuri watu wenye kulalamika hawajui kwanini wanalalamika hao bora wameskia watu wanalalmika..juzi naskia mtu analalamika ati expressway ni taxpayers money inaharibiwa..ilhali hajui hiyo barabara ni investor..Wakenya ni vile tunapenda kucomplain sana sijui kwa nini. Huko skyscraper city unakuta Wakenya wanalia sana eti mradi wa expressway ni mbaya ati wanataka tunnel ichimbwe chini ya Nairobi. Yaani expectation iko juu sana. Halafu basi za Brt niliyopost wanasema ati it is not low enough ati lazima iwe low kabisa. Yaani kama mtu anaweza complain about expressway basi huyo hawezi tosheka na maisha. Hata hiyo tunnel ikijengwa ataitafutia makosa.