Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kajifunze demand and supply

Hii ni moja ya indicators za ukuaji wa uchumi Tanzania, pamoja na kuwa na viwanda vingi sana lakini mahitaji bado ni makubwa kupita kiasi

Nimeambiwa Nyerere hydroelectric saivi inachukua 35% ya cement yote inayozalishwa Tanzania, means inachukua demand amount ya cement yote ya Rwanda.

Dodoma pekee ina matumizi makubwa kuliko Nyerere hydroelectric project
Duuh ni hatari, Tanzania jamani
Hapo Bado
Standard gauge railway, SGR
Barabara ya Kimara-chalinze, 8 ways
Bandar kavu kwala
Salendar bridge
Busisi bridge (3km)
Kuna wahuni wanashusha magorofa mjini

Nakadharika nk
 
Unabisha nini watu wameshangilia siku 3 mfululizo...we jamaa hujielewi,sasa watu wameshinda uchaguzi wasishangilie kwa nini
Kwhyo mulishangilia kimya kimya sio
Nyie mbona hamjuilewi, yani kila kitu mnataka mforce tu ilimradi muonekane km kwenu mambo shwari kumbe anayejua Mungu
 
Kenya imepoteana kwa kweli,huku madeni mob,kule screpa a.k.a chuma chakavu kimenunuliwa kwa ajili ya the so-called commuter,huku chun ching anakamua kwa SGR,chun ching mwingine naye anajiandaa kukamua for 27 years....

Sasa zile dollar wanazokopa wanafanyia nini?!!..au kunyatta na ruto wanatia kwa mifuko zao
Punguza maumivu
 
Me hapa wakenya ndo mnaponiacha hoi??

Mnapika sana data ili muonekane wakubwa

Kenya population ni 47.5 by 2019

Internet users ni 46.87.

Watu 1millioni pekee ndio hawatumii internet
Haya statistics zinaonesha kenya kila mwaka wanazaliwa watoto 1.5million
Hawa tomatic hawawezi kutumia internet kwa data izo watoto chini ya miaka 5 watakua sio chini ya milion 6.

Hwa pia asilimia kubwa sio watumiaji wa interet lakini kenya wanaonesha wao 1m pekee ndio hawatumii internet vip hapa hata nyie wakenya wenyewe hamuoni mnadanganywa????
Kwenu km sikosei huruhusiwi kutumia kitambulisho chako ku register line za voda mara mbili..

Kwetu sisi hata line tano za safaricom unaweza miliki
 
Emb angalia hii

Nigeria population 206m INternet users 126 reasonable 60%

EGPTY Poplatn 102m I.U 49m
Reasonable 48%

KENYA Poplation 50m I.U 46m
NO way
unreasonable. 98%

South Africa population 60m I.U 36m reasonable 60%

Algeria populatio 43m I.u 25m
Reasonable 52%

Morocco population 36m I.U 23m reasonable 66%

Tanzania population 59m I.U 23m reasonable 39%.

Nanchi nyingine pia ni ivo ivo kasoro kenya tu.
Kwhyo tulihomga sio
 
tunaruhusiwa vizur... so wengine nigeria na egypt nao hawaruhusiwi? kias kwamba ratio ya population/IU inalingana na ya kwetu na sio kama yenu above 90%???
Sasa sio data zote wametoa wao mbona muumwe na wakati wanajua km wametumia vigezo gani...

Kisha acha kunidanganya km unauwezo wa kumiliki voda tano bongo,..
Km sikosei mara mwisho mlipoanza ku register watu hyo ilikua hairuhusiwi mpka watu wakaanza kulalamika na wale watoto ambao hawana id itakuaje..
 
IMG-20201113-WA0011.jpg
 
wazee wa kupika data hadi unafika mahali unauzunguza
Mnalialia nn na wakati watu wa statistics wamewaeka chini yetu hata kw mobile subscriptions...
Itabidi muende mkawahonge na nyie km tulivyofanya sisi..

Nchi iliyojaa wazembe wa fikra
20201113_155349.jpg
20201113_155417.jpg
 
Wakiskia internet users wazee wa south huwaza insta na page za udaku...
Kenya internet hatuitumii kisa kupekua page za udaku,
Screenshot_20201113-160035_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20201113-160101_Samsung%20Internet.jpg
 
Kwenu km sikosei huruhusiwi kutumia kitambulisho chako ku register line za voda mara mbili..

Kwetu sisi hata line tano za safaricom unaweza miliki
Alikudanganya nani kuwa haturuhusiwi?

Vitu kama huvijui achana navyo,

Unaruhusiwa kusajili line zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja ila utaitajika kuzirasimisha (primary & secondary) mwenyewe kwa kuingia kwenye menu ya *106#
 
Back
Top Bottom