Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenu km sikosei huruhusiwi kutumia kitambulisho chako ku register line za voda mara mbili..

Kwetu sisi hata line tano za safaricom unaweza miliki
Kwani ww unaongea nn hapa.. kwani tunaongelea mambo za line au internet suscribers kwaiyo mtu mmja akiwa na laini 5 ndo anahesabika ni watu 5??
 
Kwani ww unaongea nn hapa.. kwani tunaongelea mambo za line au internet suscribers kwaiyo mtu mmja akiwa na laini 5 ndo anahesabika ni watu 5??
Kwn internet subscribers huaga ni line, we vipi bana..
Kwn kitu km google account kina maana gani katika device
 
Alikudanganya nani kuwa haturuhusiwi?

Vitu kama huvijui achana navyo,

Unaruhusiwa kusajili line zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja ila utaitajika kuzirasimisha (primary & secondary) mwenyewe kwa kuingia kwenye menu ya *106#
Duh!!sheria zote za nn hzo sasa, si heri mngeliweka km ni tatu au mbili tosha
 
Kwn internet subscribers huaga ni line, we vipi bana..
Kwn kitu km google account kina maana gani katika device
Kwani shida iko wap hapa
mf.
Mimi nina lain 6
Voda, tigo,airtel×2,halotel, na Ttcl hapo zote huwa natumia internet kwa mazingira tofauti.

Kwaiyo hapo kwa kenya ni 6 internet users?? Em nipe jibu.
 
Kwn internet subscribers huaga ni line, we vipi bana..
Kwn kitu km google account kina maana gani katika device
Wewe ndo unanambia kenya mnaruhusa ya kuwa na laini 5 kwaiyo ndo unambie kama unalaini 5 za safaricom manake hapo ni users 5??
 
Mnalialia nn na wakati watu wa statistics wamewaeka chini yetu hata kw mobile subscriptions...
Itabidi muende mkawahonge na nyie km tulivyofanya sisi..

Nchi iliyojaa wazembe wa fikraView attachment 1625663View attachment 1625664
Wakenya mpo million ngap?maana likija jambo la gdp per capital oooh tuko million 50 tu sasa hao 54 wanaotumia simu ukichanganya na waliobaki watoto hamfiki million 70 nyie? kwahyo sasa tuamini nn kuhusu kenya jaman
 
wewe mjinga kweli cruise terminal ya Zanzibar tuli-refer wapi? Wakati ipo kabla ya Mombasa?
Terminal ama udubwasha ile ya zenji, jiwe kashtushwa na sgr, thika superhigway, flyovers, footbridges, interchanges n.k

Tatizo hawezi waambia ukwel km niya yake ni kwenda sambamba na kenya au hata atufinike..lkn kuwaambia ni ngumu itabidi ajiekee moyoni tu
 
Wakenya mpo million ngap?maana likija jambo la gdp per capital oooh tuko million 50 tu sasa hao 54 wanaotumia simu ukichanganya na waliobaki watoto hamfiki million 70 nyie? kwahyo sasa tuamini nn kuhusu kenya jaman
Internet users unajua wanaangaliwaje, tuanzie hapo kwanza..
Lkn tuusan mi sikujui na unenguaji, au kwa akiki zako wanahesabu raia
 
Embu soma hii.
Alikudanganya nani kuwa haturuhusiwi?

Vitu kama huvijui achana navyo,

Unaruhusiwa kusajili line zaidi ya moja kwenye mtandao mmoja ila utaitajika kuzirasimisha (primary & secondary) mwenyewe kwa kuingia kwenye menu ya *106#
Kisha hapa.
Unaelewa maana ya "zaidi ya moja"

Hivi ni lugha ipi huwa mnaimudu 100%?
Kisha umalizie na hii.
Wewe ulisema kuzirasimisha kw menu wala hukutaja sheria huru hapo

Kwanza nina swali, voda mbili kwenu unaweza tumia kw simu tofauti
 
Back
Top Bottom