Sio kweli hata kidogo, kwenye youtube majority ya Kenyans interkectuals wameanza kulalamikia huu mfumo wa ugatuzi kutokana na hali ya uchumi wa Kenya sio sustainable kabisa, gharama za kuendesha serikali is unberable kwa uchumi wa Kenya 52% ya Government revenual inaenda kulipa mishahara tu, katika hiyo mishahara 72% ni politicians.
Hii system ya ugatuzi sisi tuliijaribu enzi za Nyerere na tukaona haiwezi kufanya kazi katika mazingira yetu. Kenya mkiendelea na hii system tegemeeni kukua kwa deni la taifa kwasababu pesa yenu mnayokusanya ni kwa ajili ya kulipa viongozi wenu, hakuna pesa itabaki kwa ajili ya Development projects na kutoa huduma za jamii, mtaendelea kukopa tu